ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Asubuhi ya leo maiti 43 zimetelekezwa ktk kijiji cha Chitego mkoani Dodoma, na wengine 27 hali zao mbaya. Dereva alokuwa akiwasafiri amewatelekeza baada ya kuona wanazidi kufa kabla ya kuwafikisha walikokuwa wakienda.
Wahanga hao wanadai dereva aliwaambia washuke ili atengeneze gari, mara baada ya wasomali wote kushuka dereva akawaacha maiti 44 na wengine 70 wakiwa hai. Wasomali hao wamedai kuwa kuna wenzao wengine walikuwa wakiwatupa njiani walipohisi wamekufa.
Hili linathibitishwa na ukweli kuwa wasomali wengine 2 waliokotwa kijiji cha jirani cha Zajilwa wakiwa hawajiwezi. Walipohojiwa na polisi wamfai walitoka Somalia mwezi Machi.
Wahanga hao wanadai dereva aliwaambia washuke ili atengeneze gari, mara baada ya wasomali wote kushuka dereva akawaacha maiti 44 na wengine 70 wakiwa hai. Wasomali hao wamedai kuwa kuna wenzao wengine walikuwa wakiwatupa njiani walipohisi wamekufa.
Hili linathibitishwa na ukweli kuwa wasomali wengine 2 waliokotwa kijiji cha jirani cha Zajilwa wakiwa hawajiwezi. Walipohojiwa na polisi wamfai walitoka Somalia mwezi Machi.