Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
Hizi mbwembwe za Magufuli zinachosha!, juzi kawatuliza wakandarasi kwa madai kwamba matatizo ya EURO zone na matatizo ya kampuni ya PEOGEOT ya Ufaransa ndio yatakayosababisha serikali ya Tanzania isiwe na uwezo kuwalipa fedha zao, nao maskini wameitikia kwa kutikisa vichwa bila hata kutafakari. Jangwani nako kapiga mbwe mbwe nyingiii yani mpaka zinachefua.
Sasa njoo kwenye hali halisi, zile hoja za kupanua barabara ya Morogoro na kuvunja vunja majengo kama lile la Tanesco zimeishia wapi? Kuna mradi gani mpya kauanzisha tangu aingie hii wizara ya ujenzi katika awamu hii ya JK? au basi hili la barabara ya Kilwa nalo vipi?, au ndio walishakabidhiana kiaina yake?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/168547-barabara-ya-kilwa-kujengwa-upya.html
Sasa njoo kwenye hali halisi, zile hoja za kupanua barabara ya Morogoro na kuvunja vunja majengo kama lile la Tanesco zimeishia wapi? Kuna mradi gani mpya kauanzisha tangu aingie hii wizara ya ujenzi katika awamu hii ya JK? au basi hili la barabara ya Kilwa nalo vipi?, au ndio walishakabidhiana kiaina yake?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/168547-barabara-ya-kilwa-kujengwa-upya.html