bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Heshima mbele wana JF
Kuna WIZI na UFISADI mkubwa umetokea katika pesa zetu tunazochanga kama ada ya association, Siwezi pita vumbi wakati lami ipo.... Rais ambaye anatakiwa kuondoka madarakani anafahamika kama MOSES MOMBA (DISSERTATION) amekwapua fedha taslimu 32,000,000 (wanafunzi 1,600 ada 20,000) katika akaunti na ushahidi ukiwepo maana tulimuandikia barua wabunge tukiomba hesabu za mwaka hakujibu kabisa. Rais huyu anafanya mambo mengi ambayo inasemekana anasapotiwa na menejiment.
Hakuna chuo kina matatizo Dar kama Mzumbe, hakuna chuo wanafunzi wa masterz wanateseka kama mzumbe, hakuna library ya kutosha,hakuna bookshop, hakuna sehemu za kusomea, hakuna stationary za kutosha,hakuna AC za kueleweka, msimbazi center ndio kero wanafunzi wamekuwa kama watumwa wa ada (mamilioni) wanayolipa.....tulitegemea pesa yetu ya MUSO iweze kutufuta machozi ila mtu mmoja (MOMBA) akishirikiana na mmoja kati ya lecturers wa menejiment wametafuna pesa zetu...
Demokrasia inabakwa waziwazi: kwa mfano FRED NGAJIRO...huyu ndie mwanafunzi aliyeshinda urais ili ampokee momba kijiti ila mpaka leo hajaapishwa!!!!!!!!!!!!!! Je unajua sababu,,,,,,,, Ngajiro ni mwanaharakati mzuri sana na mpenda amani aliahidi kuweka kila kitu sawa ila inasemekana haelewani na MOMBA na ndio sababu hataki kumuapisha kisa mtu aliyemuweka yeye anaitwa JOHN D. NGOWI ambaye alishindwa*Si unajua gari linalovutwa haliwezi kuovertake.... NGOWI alikuwa mshindi wa tatu ila aliappeal matokeo kwa kushinikizwa na MOMBA kuwa atapewa URAIS kwa sharti la kutochunguza shillingi 32,000,000 ...Hivi sasa Ngajiro anaishi kwa vitisho vikubwa na manyanyaso mengi maana hili linasemekana kwa habari zisizo rasmi linasapotiwa na PROF MBWAMBO...sasa hatujui kama mkuu nae ni mshiriki katika huu mchezo...Ila tumeanza kupoteza imani nae kama habari zake za kwenye jamii forum.
KWANINI RAIS TULIYEMCHAGUA HAAPISHWI MPAKA SASA,SIKILIZA, tunaamin Menejiment ina buy time ili tumalize mitihani wamuapishe JOHN NGOWI kwa ushawishi wa Momba...wanataka kuweka Rais wao sasa kwanini walitupotezea
muda wa kupiga kura...NDUGU zangu sisi ni wasomi tukikubaliana na hili tutakuwa hatujitendei haki, Classreps tunawatesa ilibid wapewe hata allowance ya vocha tu ambayo ni ndogo sana........ Momba aliilipa electro cometteeya watu watatu sh 30,000 kila mtu na alitoa hela kwenye walet, je pesa ya umoja ndio inatolewa bila kusainiwa? NDUGU unaijua hiyo bajeti aliyosema ilitumika!!!!!!! AIBU AIBU AIBU TUPUUUUUU!!!!! Mimi ni mmoja kati ya classreps ndio maana najua uchungu wa ile pesa yetu....MOMBA amekula pesa ya intake yao 2010 amekula yetu ya 2011 na kuna uwezekano anataka kula na ya 2012....je huu woga ni halali yetu watu wa level ya masters!!! katiba inasema rais anaongoza kwa mwaka mmoja tu...
WAKATI ANAJUA HATA PA KUSOMEA CHUO HAKUNA nini maana ya kutuwakilisha kisa sisi sio classmates wake,alikubali sera ya kulipa vitabu kisa yeye hakuchajiwa maana alikuwa dissertation,alikubali wenzake wakapangiwa dissertation supervisors wa morogoro na mpaka leo wanalia maana wanaishi Dar, tunadai hela za vitabu 250,000 huwa hana hata time....MTU HUYU HANA TOFAUTI NA UKIMWI maana ANAUA BILA AIBU Mmzumbe ya Dar inadharaauliwa na kuitwa VODA FASTA YA PROF MBWAMBO, maana uongozi wake umekosa busara walimu wanafundisha kiswahili, mwalimu mmoja anasimamia dissertation watu 80 jaman tunashindwa kuiga mazuri kutoka kwa wenzetu...Tunaanza kujilaumu kusoma mzumbe tena ya Dar ya Prof. Mbwambo.
Jamani kwa sasa tutegemee kupangiwa supervisors wa morogoro na kutorudishiwa 250,000 za vitabu,,,Ngajiro alishinda kura madarasa yote ya msimbazi yaliyopiga kura Je aliwapa Rushwa?nhakuna mtu hata mmoja ambaye alifika nusu yake katika urais sasa appeal zinatoka wapi... HAPA TUNAHITAJI BUSARA YA VC KABISA MAANA PROF MBWAMBO ANATUFUNDISHA TUWE MABALOZI WABAYA WA MZUMBE....
Wenzetu wa procurement saa10 hawakupiga kura kwa sababu kubwa MOMBA aliwadharau siku ya uchaguzi pia aliwaambia HATA WASIPOPIGA KURA WATATAWALIWA TU ila yeye amelipotosha hili, poleni sana ndugu... MOMBA aliwahi kusema WANAWAKE WA MZUMBE NIWACHAFU SANA (wengine wakiwa ni mama zake kabisa) mbele ya darasa la MPA ya asubuhi na wote ni mashahidi na ndio sababu wanamchukia...
Hiyo ndiyo hali halisi ya Mzumbe University Dar cumpus, wanajamvi ushauri please, tunafanyaje ili kupata kwanza haki yetu, na pili elimu iliyo bora kama tulivyotarajia!
Pia natoa rai kwa watu wa PCCB, vyombo vya habari, na wapinga ufisadi wafike chuoni hapo wapate cha kuiambia jamii ili ielewe kinachoendelea, pia hatua stahili zichukuliwe. Kamati za bunge kama ile ya zito ya mashirika ya umma huwa inafika vyuoni kweli?? maana hiki ni chuo cha umma, nafikiri kuna haja ya kuvitazama kwa upya. Jamani hela zetu zinaliwaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nawasilisha
Kuna WIZI na UFISADI mkubwa umetokea katika pesa zetu tunazochanga kama ada ya association, Siwezi pita vumbi wakati lami ipo.... Rais ambaye anatakiwa kuondoka madarakani anafahamika kama MOSES MOMBA (DISSERTATION) amekwapua fedha taslimu 32,000,000 (wanafunzi 1,600 ada 20,000) katika akaunti na ushahidi ukiwepo maana tulimuandikia barua wabunge tukiomba hesabu za mwaka hakujibu kabisa. Rais huyu anafanya mambo mengi ambayo inasemekana anasapotiwa na menejiment.
Hakuna chuo kina matatizo Dar kama Mzumbe, hakuna chuo wanafunzi wa masterz wanateseka kama mzumbe, hakuna library ya kutosha,hakuna bookshop, hakuna sehemu za kusomea, hakuna stationary za kutosha,hakuna AC za kueleweka, msimbazi center ndio kero wanafunzi wamekuwa kama watumwa wa ada (mamilioni) wanayolipa.....tulitegemea pesa yetu ya MUSO iweze kutufuta machozi ila mtu mmoja (MOMBA) akishirikiana na mmoja kati ya lecturers wa menejiment wametafuna pesa zetu...
Demokrasia inabakwa waziwazi: kwa mfano FRED NGAJIRO...huyu ndie mwanafunzi aliyeshinda urais ili ampokee momba kijiti ila mpaka leo hajaapishwa!!!!!!!!!!!!!! Je unajua sababu,,,,,,,, Ngajiro ni mwanaharakati mzuri sana na mpenda amani aliahidi kuweka kila kitu sawa ila inasemekana haelewani na MOMBA na ndio sababu hataki kumuapisha kisa mtu aliyemuweka yeye anaitwa JOHN D. NGOWI ambaye alishindwa*Si unajua gari linalovutwa haliwezi kuovertake.... NGOWI alikuwa mshindi wa tatu ila aliappeal matokeo kwa kushinikizwa na MOMBA kuwa atapewa URAIS kwa sharti la kutochunguza shillingi 32,000,000 ...Hivi sasa Ngajiro anaishi kwa vitisho vikubwa na manyanyaso mengi maana hili linasemekana kwa habari zisizo rasmi linasapotiwa na PROF MBWAMBO...sasa hatujui kama mkuu nae ni mshiriki katika huu mchezo...Ila tumeanza kupoteza imani nae kama habari zake za kwenye jamii forum.
KWANINI RAIS TULIYEMCHAGUA HAAPISHWI MPAKA SASA,SIKILIZA, tunaamin Menejiment ina buy time ili tumalize mitihani wamuapishe JOHN NGOWI kwa ushawishi wa Momba...wanataka kuweka Rais wao sasa kwanini walitupotezea
muda wa kupiga kura...NDUGU zangu sisi ni wasomi tukikubaliana na hili tutakuwa hatujitendei haki, Classreps tunawatesa ilibid wapewe hata allowance ya vocha tu ambayo ni ndogo sana........ Momba aliilipa electro cometteeya watu watatu sh 30,000 kila mtu na alitoa hela kwenye walet, je pesa ya umoja ndio inatolewa bila kusainiwa? NDUGU unaijua hiyo bajeti aliyosema ilitumika!!!!!!! AIBU AIBU AIBU TUPUUUUUU!!!!! Mimi ni mmoja kati ya classreps ndio maana najua uchungu wa ile pesa yetu....MOMBA amekula pesa ya intake yao 2010 amekula yetu ya 2011 na kuna uwezekano anataka kula na ya 2012....je huu woga ni halali yetu watu wa level ya masters!!! katiba inasema rais anaongoza kwa mwaka mmoja tu...
WAKATI ANAJUA HATA PA KUSOMEA CHUO HAKUNA nini maana ya kutuwakilisha kisa sisi sio classmates wake,alikubali sera ya kulipa vitabu kisa yeye hakuchajiwa maana alikuwa dissertation,alikubali wenzake wakapangiwa dissertation supervisors wa morogoro na mpaka leo wanalia maana wanaishi Dar, tunadai hela za vitabu 250,000 huwa hana hata time....MTU HUYU HANA TOFAUTI NA UKIMWI maana ANAUA BILA AIBU Mmzumbe ya Dar inadharaauliwa na kuitwa VODA FASTA YA PROF MBWAMBO, maana uongozi wake umekosa busara walimu wanafundisha kiswahili, mwalimu mmoja anasimamia dissertation watu 80 jaman tunashindwa kuiga mazuri kutoka kwa wenzetu...Tunaanza kujilaumu kusoma mzumbe tena ya Dar ya Prof. Mbwambo.
Jamani kwa sasa tutegemee kupangiwa supervisors wa morogoro na kutorudishiwa 250,000 za vitabu,,,Ngajiro alishinda kura madarasa yote ya msimbazi yaliyopiga kura Je aliwapa Rushwa?nhakuna mtu hata mmoja ambaye alifika nusu yake katika urais sasa appeal zinatoka wapi... HAPA TUNAHITAJI BUSARA YA VC KABISA MAANA PROF MBWAMBO ANATUFUNDISHA TUWE MABALOZI WABAYA WA MZUMBE....
Wenzetu wa procurement saa10 hawakupiga kura kwa sababu kubwa MOMBA aliwadharau siku ya uchaguzi pia aliwaambia HATA WASIPOPIGA KURA WATATAWALIWA TU ila yeye amelipotosha hili, poleni sana ndugu... MOMBA aliwahi kusema WANAWAKE WA MZUMBE NIWACHAFU SANA (wengine wakiwa ni mama zake kabisa) mbele ya darasa la MPA ya asubuhi na wote ni mashahidi na ndio sababu wanamchukia...
Hiyo ndiyo hali halisi ya Mzumbe University Dar cumpus, wanajamvi ushauri please, tunafanyaje ili kupata kwanza haki yetu, na pili elimu iliyo bora kama tulivyotarajia!
Pia natoa rai kwa watu wa PCCB, vyombo vya habari, na wapinga ufisadi wafike chuoni hapo wapate cha kuiambia jamii ili ielewe kinachoendelea, pia hatua stahili zichukuliwe. Kamati za bunge kama ile ya zito ya mashirika ya umma huwa inafika vyuoni kweli?? maana hiki ni chuo cha umma, nafikiri kuna haja ya kuvitazama kwa upya. Jamani hela zetu zinaliwaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nawasilisha