Ngararimu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 288
- 497
serikalini mishahara ni midogo sana wote tunaishi kwa deal za kifisadi tuu siku akitokea rais makini na takukuru yenye meno magereza yote yatajaa watumishi wa serikali nasheria ya kifungo itbidi iondolewe na badala yake adhabu ya kifo iwekwe kama walivyofanya wachina hakuna sababu ya kuingia gharama kuwalisha na kuwatibu wala rushwa magerezani.malipo ya serikali yakoje wadau?