Ni hatua nzuri lakini tatizo la vyeti feki is a vountry wide issue. Namshauri kamanda Siro atoe kwanza boriti jichoni kwake ndio ataona vizuri kwa kusafisha vyeti feki kwa makamanda wake kwanza. Wakishakuwa wasafi waanze na watu wengine. Ila waangalie wasije wakasababisha upungufu wa wafanyakazi...
FOB ni bei ya kunulia kule tu. Na mara nyingine wanaonyrsha hiyo. CIF ni bei ya kununulia , usafiri mpaka dar na inaurance na inspection. Kama gari linauchakavu likija bongo hela inakuwa nyingi over 100 percent ya FOB yaani zaidi ya hiyo dola 600.
Chumvi ikishabaribika itatiwa nini ili ikolee. Tuna shida kubwa kwenye makanisa ya kiptotestant hatuna stability kabisa. Hivi ushasikia vibweka kama hivi kwa Pengo. Kiongozi wa dini anapaswa kuwa mcha mungu na anayejiheshimu
vi
Traffic wetu kila jambo ni kosa na wanataka hela kwa kila kosa. Kila sharia ina nafasi ya kumwwlimisha mkosaji. Sana hivi traffic wamwkuwa kitengo minimum cha kuingiza hela kama TRA. Mimi sikubaliani na kutarget
Makosa kama njia muhimu kwa matapo ya chi.
Shida ya wabongo wanataka kuishi kwa wizi. OC kidogo wanalia.tujifunze kuishi kwa mshahara. This is our means. Hizo za kupiga panga sioza kwetu. JPM kaza buti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.