Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

Ni hatua nzuri lakini tatizo la vyeti feki is a vountry wide issue. Namshauri kamanda Siro atoe kwanza boriti jichoni kwake ndio ataona vizuri kwa kusafisha vyeti feki kwa makamanda wake kwanza. Wakishakuwa wasafi waanze na watu wengine. Ila waangalie wasije wakasababisha upungufu wa wafanyakazi maana wengi hawana vyeti orginal au wameeazima kwa eatu
 
View attachment 365614

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amewataka wale wote waliyo na vyeti vya kugushi (vyeti feki) wajisalimishe mapema kwa jeshi hilo kabla ya kuanza kwa oparesheni maalum utakaowabaini na kuwachukulia hatua za kisheria.

Kamanda Sirro ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar na kuongeza kuwa, watuhumiwa wamekuwa wakibanwa na kuwataja baadhi ya vigogo wa seriaklini kuwa ndiyo wanaohusika kuwatengenezea vyeti hivyo na kwamba huvitumia vyeti hivyo walivyotengenezewa kwa kuajiriwa serikalini na taasisi nyingine.
Heee!!! Sekta ya polisi ambayo jukumu lake kuu na la msingi ni ulinzi na usalama wa Raia na Mali zao limebadilika na kuwa katika sekta au wizara ya elimu????
Tafadhali mnisaidie hili to me is very incredible as I see ni kama interaction of responsibilities,roles & accountabilities.
 
Hili zoezi liliwahi kujaribu kufanyika hapo nyuma lakini nasikia kilichofanya 'lisimame' ni kilichoibuliwa na uhakiki huo huo humo alimo! Ngoja tusubiri maana muda ndio rafiki mzuri na mkubwa wa haya yote.
 
Hata mdingi na mashaka naye, iweje ufikie DhP ya Kireno na kireno hujui?
Wewe umesoma wapi mbona kuna watu wamesoma tanzania na kuzaliwa tanzania na bado hawawezi kuzungumza kiswahili fasaha. Wakati mwingine muwe mnatumia mitandao ya jamii kuandima mambo ya maana maana wengine watafaidika na siyo kila kukicha kuandika utumbo. Mimi nina watu nimesoma nao sekondary darasa moja wenzetu wengine mpaka wamemaliza chuo kikuu lugha ni ngumu na moja alituongoza darasani na mpaka six japo alivhukua sayansi lakini alipata first division. Na mwingine alichukua arts na ndiye aliyekua msemaji wetu mkuu ktk inter school debate na baadhi ya walimu na wanafunzi wa shule jirani walidhani ama si mtanzania ama amekulia katika nchi zinazozungumza kiingereza. Jamaa matokeo yake hayakua mazuri japo baadae alifanikiwa kuingia mlimani na kusomea ualimu na sasa ni mwalimu wa kiingereza. Sasa kuwa mxuri ktk lugha ama kutokuwa msemaji mzuri hakuna mahusiana na kufaulu hasa kwa wanasayansi. Mwalimu wetu wa lugha tulipoingia form one alituamvia jinsi wao waliookuwa chuo kikuu walikua na mangwini. Na yule ambaye hakujua kuongea kiingereza fasaha sasa hivi ni moja wa madaktari wazuri tu si wezi taja majina ya watu humu mitandaoni. Hivyo usidanganyike na waongeaji wazuri wa lugha ukadhani ni wasomi wazuri. Ila wasi wasi wangu nadhani mkuu unaweza kywa na umri wa miaka zaidi ya 70. Maana vizee ninyi wakati wenu wasomi walikua wqchache wengi wenu mlimalizia primary kwa wakati huo waliokua wanazungumza kiingereza walikua wasomi tu na usomi wenyewe wa darasa la kumi.
 
View attachment 365614

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amewataka wale wote waliyo na vyeti vya kugushi (vyeti feki) wajisalimishe mapema kwa jeshi hilo kabla ya kuanza kwa oparesheni maalum utakaowabaini na kuwachukulia hatua za kisheria.

Kamanda Sirro ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar na kuongeza kuwa, watuhumiwa wamekuwa wakibanwa na kuwataja baadhi ya vigogo wa seriaklini kuwa ndiyo wanaohusika kuwatengenezea vyeti hivyo na kwamba huvitumia vyeti hivyo walivyotengenezewa kwa kuajiriwa serikalini na taasisi nyingine.

Wakuu naomba kujua toka kwa wajuzi wa mambo! Je hili tangazo la Siro ni kwa Dar pekee au la? Maana nijuavyo jurisdiction yake kipolisi in mkoa wa Dar Es salaam!
 
Nilifikiri ametoa taarifa kuwa amebaini idadi kadhaa ya wenye vyet feki, kumbe blaa blaaa tu.
We need action.
"Ukisikia kauli za woga ndiyo kama hizo" ving'ora kuelekea majambaz walipo ili wakimbie mshindwe kuwakamata.
 
Hili wamelihubiri sana toka mwaka jana lakini hamna kitu.

Hii ni namna nyingine ya kamanda kuwa kwenye headlines.
 
Back
Top Bottom