Recent content by Kichenje

  1. K

    Mbuyu wa zaidi ya miaka 50 walemewa na dhoruba

    Mwandishi mpendwa hapa umeharibu utamu wa shairi lililoanzishwa ,umeweka wazi sana ungalijibu kwa mfumo huuhuu wa ushairi ingependeza sana asante.
  2. K

    Serikali yatikiswa

    Mzee msolwa, makundi kwa sasa tusiyape nafasi.Kumbuka muungano wao ndiyo uliofungua njia ya majadiliano ya mezani kati yao na serikali.Acha waende kama muungano wa vyama vya upinzani na si kama chama cha upinzani ukinzani wa chama kimojakimoja ni rahisi kufutika kuliko wa muungano wa vyama vya...
  3. K

    Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

    Msameheni bure, huenda ameisha kunywa mvinyo wa Dodoma
  4. K

    Ndoa ya CHADEMA na vyama vya upinzani ni halali lakini ni haramu CCM kuitamani

    kabla ya kwenda mbele hatua mia moja tukumbuke na kuitazama miongozo ya msajili wa vyama vya siasa inasema nini juu ya muungano huu.Tusije tukaisogelea fimbo iliyowekwa darini.
  5. K

    Zitto: Serikali iache kutafuta mchawi, iende Mtwara!

    Hapa anazungumzia suala la majibu wanayoyataka na manufaa ya mradi wa gesi kwa wakazi wa Mtwara.Hazungumzii suala la mabilioni ya uswiss wala urais.Usipotoshe fikra za great thinker,hawa wapo kazini bwana.Mabilioni na urais ni mada nyingine tofauti na hii.
  6. K

    Watanzania wote tumsaidie ndugu Zitto na wabunge wengine kupata sahihi 70 za wabunge

    Wakuu tuwekane wazi kuhusu hizo sahihi,ni kwamba zitatoka kambi ya upinzani peke yake au hata chama tawala ?:bump:
  7. K

    Mh. Livingstone Lusinde Under Microscope?

    Akitoka kwenye microscope asipelekwe nyumbani kwake kwanza,aingizwe kwenye scanner kwa uchunguzi zaidi
  8. K

    Hatua za haraka zinahitajika, Wafuatao wameihujumu CCM

    kama mlaji ni mla leo mla jana kalanini;:yo: mla kesho kala masazo ?
  9. K

    maadhimisho ya ccm ndani ya ccm kilumba:updates

    Mbele ya ubeche wa kusaza hakuna kulala bana,kwata mbele sauti juu
  10. K

    Mwanafunzi wa form 4 anayesubiri majibu akipata mimba ,je huyu ni mwanafunzi ?

    Mwanafunzi aliyemaliza msomo ya kidato cha nne anayesubiri majibu yake amegundulika na mimba ya miezi minne.wazazi wanakusudia kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mtia mimba.
  11. K

    Nifahamuni mi kichenje

    Wajamii mpo !
  12. K

    Ukiachiwa mzigo ndani ya daladala

    Msafiri wenzako ambaye hamjuani kakupa mkoba umshikie,alipoteremka kasahau kuuchukua toka kwako.nawe unahaja ya kumrudishia.je unapaswa ufanyeje.
Back
Top Bottom