RAHISI kavalia nguo za kijani
Na kweli hayalezeki maana ni machache sana ukilinganisha na mda wa madaraka na hali halisi, na siyo kwamba hayaelezeki kwa ajili ya wingi.nape kasema maendeleo ni mengi sana na hayaelezeki.
nape kasema maendeleo ni mengi sana na hayaelezeki.
Wakubwa haya magari ya STK vipi sherehe za Magamba?