maadhimisho ya ccm ndani ya ccm kilumba:updates

Wakubwa haya magari ya STK vipi sherehe za Magamba?

attachment.php
 
maadhimisho yamepwaya hamna anaewataka ccm mwanza hata mlishe jiji zima wali wa bure.
 
Walio nje ya uwanja kwa sasa baada JK kuondoka watujuze vipi hao ng'ombe 70 na wali wa bure??maana ndio wamezoa watu wengii sababu ya wali wa bure!!!
 
nape kasema maendeleo ni mengi sana na hayaelezeki.
Na kweli hayalezeki maana ni machache sana ukilinganisha na mda wa madaraka na hali halisi, na siyo kwamba hayaelezeki kwa ajili ya wingi.
 
Wana JF,
Poleni na majukumu ya Ujenzi wa Taifa na Familia zenu,
Ningependa sana mwenye Hotuba ya Rais wetu aliyoisoma au kuitoa kwenye Sherehe za kukumbuka kuzaliwa kwa CCM huko CCM Kirumba mjini aka jijini Mwanza, yameshasemwa Mengi sana kuhusu Hotuba yake, Kama; amewaambia Watanzania ni Malofa kwa kushinda kulipwa ujira mdogo na kulaghaiwa na Viongozi, Watanzania waache kuchagua watu wenye tuhuma za Rushwa, Chama kama hakina Idara ya Propaganda hakina nguvu, nimesikia na kusoma kuna mambo aka hoja kama 23 ameongelea.
My take: Nimeshindwa kuamini na kujua lipi la kweli au yote ni uzushi au yote ya kweli, mwenye hotuba tuwekeeni tuusome
Nawakilisha
 
wakuu kama mtu mwenye hotuba yaleo ya jk aliotoa huko mwanza aiweke hapa sisi wengine hatujaangalia tv leo kutokana na majukum.naomba kuwakilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom