acha ujinga we hewa kama nawe ujui kusoma hata kusikia tu nalo tatizo...tafuta audio tukutajie jina lake
Nikimwangalia Dr Slaa halafu nikikumbuka maneo ya Lusinde....navunjika mbavu tu!!
Hongereni CDM kwa kushinda Arumeru....its my first time naingia kwenye hili jukwaa!! Hope mmesheherekea ushindi salama salmini!!
Angalizo: Dont quote!!:shut-mouth:
Inaonesha kwenye hicho chuo wanapikwa na kuiva kwenye nyanja alizokuwa anaziporomosha Mhe. LusindeHicho chuo in red wanafundisha nini?
7. sheria ya uchaguzi na sheria za nchi generally zinasema nini kuhusiana na hili?WanaJF
Nadhani wengi tumepata bahati ya kusikia Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM kule Arumeru Mashariki katika moja ya mikutano ya Kampeni ya CCM. Ni wazi kuwa katika kampeni vijembe vya hapa na pale kwa vyama pinzani haviwezi kukosekana. Hata hivyo vijembe vinapogeuka consinstently kuwa matusi tena mbele ya kadamnasi ya watu wakiwepo watoto wadogo wa shule, ni wazi kuwa mhusika anakuwa amevuka na kuvunja maadili ya ustaarabu wa kawaida wa Watanzania.
Hotuba yake ya matusi imenifanya binafsi nipende kujua kwa undani baadhi ya mambo ya msingi kuhusu Mh. Lusinde kama:
- Mh. Livingstone Lusinde anazo akili timamu kweli?
- Kama hana akili Katiba inasemaje kwa mtu asiye na akili kuwa kiongozi?
- Kama anazo kwa nini aliporomosha matusi yale?
- Je historia yake ikoje?
- Malezi yake yalikuwaje?
- Na mengine ambayo wadau mtapenda kuongezea.
Wakati tukiendelea kumweka mh. Lusinde katika Microscope, naomba pia tuendelee kukusanya kumbukumbu zake za kila namna kuridhisha hasa ni mtu wa namna gani.
Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.