Ndugu huyo mtu msikie tuu... magari yake yote yamechorwa picha ya mganga wa kienyeji kwa nyuma.. Huyu mtu hata hapa commet zako chunga zisimchafue roho yake mana mhhhh.. shauri yako..!!!
Tajiri maarufu mirerani na arusha maarufu kwa jina la erasto ameuliwa leo alasiri na watu wanaodhaniwa ni majambazi na kutokomea kusikojulikana.. Tukio hilo limetokea maeneo ya kia njia ya kwenda mirerani ambapo bw erasto akiwa kwenye gari lake aina ya ranger rover ndogo new model alipigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.