Trafiki wa kike na vimini

Trafiki wa kike na vimini

wengi wawo wanamakalio yaliyobinuka kumbe usishangae mimi napenda sana uvaaji huo
 
Vimini vinawasaidia kuweza kukimbia..sketi ndefu haifai kukimbia,sema tatizo wanavaa vimin vimewabana sana.
 
jeshi lolote duniani lina sheria na taratibu zake ktk mavazi.
Hawaruhusiwi kuvaa vimini ila tatizo ni usimamizi mbovu.

Akiwa na shepu hata avaeje mtasema kavaa vibaya.
... and the vice versa !
 
Hii imemekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratubu sare za trafiki ..kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa uoande wa nyuma imenyanyuka na kuacha seheme kubwa ya nyuma wazi ..kupanda kutoka kwnye magoti .. na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI).. kama hutaki kuamini ..kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema .
jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .
ukiona sketi mbele ndefu nyuma fupi; ni makosa ya kiufundi tu.
 
Hii imemekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratubu sare za trafiki ..kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa uoande wa nyuma imenyanyuka na kuacha seheme kubwa ya nyuma wazi ..kupanda kutoka kwnye magoti .. na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI).. kama hutaki kuamini ..kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema .
jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .

lete picha!
 
wengine ni kama mama zetu hawana adabu hawa maofisaa wa usalama barabaran...... mi wananiboa kwel
 
Kumbuka hata wao ni binadamu pia na wanamatamanio kama ilivyo kwa watu wengine licha ya majukumu waliyonayo
 
Jamani me ni afande mshona jezi za polisi(Traffiki), huwa wakati tunawapima wametoak dep watoto hawa wanakuwa wembamba sana. sasa akingia barabarani basi tena michuzi hadi paja linajaa. hata hivyo nao wanahitaji kupunguza stress kama wanawake wengine.....ukizingatia unakaa kwnenye jua siku nzima halafu huna mume.
 
Unalako jambo. Ina maana hakuna sekta nyingine umeona traffic tu. Nenda bank, Tra, na manes

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom