Nahisi kama naota vile

Nahisi kama naota vile

Usijichanganye kabisa hivi kesi za wakurya unazijua au unazisikia? hatuendi kituoni siye. Sisi wenyewe ndio polisi. Bado na ya my bro Excel unalo

Nimeshakwambia sichezi tena na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Dada yake nipo hapa, wifi kumbe kaka yangu akiwa busy na shughuli zake nawe wachepuka tena mwingine kizee hivyo hahahahaa

wiiiiiii jamani huyu babu hata simjui naona ananing'ang'ania ka katiba mpya lol
 
Na kweli unaota, huyo jamaa yako akipitia post zako za kwenye huu uzi nafikiri utaamshwa kutoka ndotoni kwa uchumba kuvunjika.
 
Mmmmmmmh!!!!! Haya jf hooooyeeeee!! Hongera mwaya bt wanaume hawa nwajuao mie na mapema hii msha'date' au cjaelewa hl neno mie darasa la 2???
 
utafitiiiiiiiiiiii na wewe unakiamini hiki kibabu kilichonusurika mafuriko ya jangwani natamani nikikate kikojoleo lol

Darling usijali....nishamzoa huyu babu....halafu unajua Asprin....ntakurudia
 
Last edited by a moderator:
utafitiiiiiiiiiiii na wewe unakiamini hiki kibabu kilichonusurika mafuriko ya jangwani. ila uongo mbaya nakipenda na natamani sana kikojoleo chake lol

Usiseme kwa sauti watu watajinyónga kwa wivu bure.
 
Hili jina lako kama nalielewa vzr sio wadada wenye mapepe na vimuhemuhe kama wewe lkn wewe umeshupaa mwanaume kuonana cku moja tu ushaona ndoa mbele yako, UMUKAGAME r'u real?? Futa hilo jina usituudhi,.
 
Kama umeshagharamia sana, naweza kukuruhusu uwe mme mwenza kwa wiki mbili tu afu umuwache miaka mia miss neddy wangu apumuwe.
..
..
..Babu onyesha uzoefu wako..naona UKAWA wa
mapenzi wanakupeleka speedy...!!!..hhaaaaahaaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Usiseme kwa sauti watu watajinyónga kwa wivu bure.


..
...Haaaahaaaa...Babu Asprin leo una kaziii.....ila kuna dawa ya #MAPENZI inauzwa nimeona...unatoa hela tu..unaona miss anakung'ang'ania hadi umchoke mwenyewe...!!!
 
Back
Top Bottom