Hapo issue siyo kusema tu ''Ndicho tulichowatuma'' bali ni kutizama fursa gani zinakuja na majengo hayo?
1. Mapato kwa wawekezaji owners
2. Mapato kwa wadau, wauza samani, vifaa svya umeme, compyuters, projectors, CCTV Cameras, makampuni ya usafi, makampuni ya usafiri, makampuni ya ulinzi, kodi...