Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,555
Asilimia kubwa ya wanafunzi wanaosoma hii shule ni "nshomire until final class" hawa waswahili sijui kawatoa... Atueleze vizuri aache uongo. Nimeshaenda kwenye hiyo shule nikimtafutia nafasi binti wa ndugu yangu. Mfanyakazi wa pale ndio akanitonya kua hadi nshomire wote wapate nafasi, zikibaki ndio wengine wanachukuliwa.
Shule inafadhiliwa na mama mmoja m swedish ndio mwenye jina shule. 1.6b atueleze vizuri kapewa kwa ajili gani.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama unahitaji mwenye masters na ndugu yako anayo hiyo masters kwanini usimpe eti kisa jirani anayo? hivi mie nikikuomba chakula na ndugu yako naye akaja ana sgda ya chakula utampa nanikwanza mie ama nduguyo? mbona taasisi zenu za umma kazi wanapewa watu fulani iweje ulione boriti kwa taasisi ya binafsi,wewe unazijua goals za organization yake ni nini?