Bora hata wasiongezwe kwa sababu
1. Serikali itawalipa nini kama hao tu waliopo inashindwa kukidhi mahitaj yao.
2. Watatumaliza bure maana siku hiz wanaua raia.
bora TCU, hiyo bodi ya*mikopo ndo balaa. inaagiza wanafunzi wafanye applivation wakati matokeo ya kidato cha 6 hayajatoka. unalipa 30,000 na matokeo yakitoka ukawa umefeli ndo basi tena hela yako itakuwa imeliwa! na mbaya zaid idadi ya wanafunzi wanaofeli ni kubwa kuliko wale wanaofaulu
kilichotokea ni kitu cha kawaida ambacho kinaweza kumtokea mtu yeyote....! ila nadhan hii itakuwa fundisho kwa wale mabinti na watoto wa kiume wanaokimbilia mambo ambayo yamewazid umri! niliwahi kumuona mara kwa mara katika vipind vya tv, sio siri alikuwa anaonekana hajitambui kabisa! nadhan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.