Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
Its mean kwamba LULU ana Muder case n No Dhamana? N kuna tetesi its mom ni Muhaya so hawezi potezea hiyo kesi.???
Hivi ni kwanini usingeandika kwa lugha ya taifa tu jamani kha!!!
Its mean kwamba LULU ana Muder case n No Dhamana? N kuna tetesi its mom ni Muhaya so hawezi potezea hiyo kesi.???
Correction-it means not its mean....Murder not muder
His\her mom not its....may be when ur talking about a dog and even a dog we normally use SHE not it
Simple....tumia kiswahili
I read on another blog that she has decided to exercise her right to remain silent until in the presence of an attorney
Its mean kwamba LULU ana Muder case n No Dhamana? N kuna tetesi its mom ni Muhaya so hawezi potezea hiyo kesi.???
Its mom ni Muhaya(Mama kanumba)
Prodo umeelew vizuri sana ndio maana umejua wapi nimekose so shut up! Soma comment thn sepa.
nashukuru wote mlio nitumia private message, kimsingi zimenipa direction wapi pa kuanzia! pia hata nyie mnaocomment, ninataka kuwasiliana na familia ya LULU, kama itaniruhusu niko tayari kuwasaidia, hii kesi ni ndogo sana kwangu!
Correction-it means not its mean....Murder not muder
His\her mom not its....may be when ur talking about a dog and even a dog we normally use SHE not it
Simple....tumia kiswahili
mimi ni mwanasheria wa kujitegemea based in South Africa, nimefatilia mjadala wa kifo cha Kanumba hapa JF na kwenye mitandao mbalimbali, na watu wengi wameonekana kumtupia mzigo LULU kama ndio chanzo, in short amekuwa ndio scapegoat, so yeyote mwenye contanct za familia au ndugu ya kina lulu na kama wako tayari,wanaweza kuniPM! AM ready to help this little lady
mimi ni mwanasheria wa kujitegemea based in South Africa, nimefatilia mjadala wa kifo cha Kanumba hapa JF na kwenye mitandao mbalimbali, na watu wengi wameonekana kumtupia mzigo LULU kama ndio chanzo, in short amekuwa ndio scapegoat, so yeyote mwenye contanct za familia au ndugu ya kina lulu na kama wako tayari,wanaweza kuniPM! AM ready to help this little lady
Kuna tetesi kuwa kifo cha Kanumba kimetokana na Kusukumwa na LuLu wakiwa wanagombana nyumbani kwa Kanumba. Wawili hawa walikuwa wapenzi. Katika ugomvi huo LuLu alimsukuma Kanumba na Kanumba alipiga kichwa chini jambo lililopelekea Kanumba Kupoteza Maisha. Now if proved that LuLu caused the death in relation to above story,what does the Law provide?
hivi ni kweli kanumba kazaliwa 1984?nilifikiri ni mzee mwenzangu'anyway mkuu nakushauri achana na hilo swala'kuna mtu hapo juu kasema huyo mtoto ni msumbufu na amesumbuwa sana wazazi wake'mwache akapate akili mbele ya safari kwa kuwa wazazi wake walimshindwa'kama unataka kusaidia nipm nikupe mambo kibao ya kusaidia achana na changudoa'kuna dhahabu kilo 500 zinatoroshwa kila mwezi kama vipi njoo tuangalie jinsi ya kufanya
Hio inaitwa man slaughter, kuuwa bila kukusudia.Kuna tetesi kuwa kifo cha Kanumba kimetokana na Kusukumwa na LuLu wakiwa wanagombana nyumbani kwa Kanumba. Wawili hawa walikuwa wapenzi. Katika ugomvi huo LuLu alimsukuma Kanumba na Kanumba alipiga kichwa chini jambo lililopelekea Kanumba Kupoteza Maisha. Now if proved that LuLu caused the death in relation to above story,what does the Law provide?