Sina tatizo na Clouds TV kuonyesha live mazishi ya Kanumba, lakini hili la TBC 1 nayo kurusha live mazishi hayo linanishangaza sana. Hivi kwa TBC1 Tv ya Taifa, suala hilo ni muhimu kiasi hicho? Mbona coverage ya matokeo ya chaguzi ndogo huwa haifuatiliwi kiasi hicho?
Wamejiunga na clouds tv live kutoka leaders wanarusha matangazo ya kumuaga Kanumba.
Kipenzi chao? Kina nani? Sijawahi hata siku moja kuangalia upuuzi aliokuwa anaigiza.Acha tu warushe ya Kanumba. Huko mjengoni wanajadili upuuzi tu, mchakato unaendelea, upembuzi yakinifu,
serikali inalifanyia kazi, wkt hamna lolote wanalofanya.
Bora tu wawaunganishe watz kushiriki maziko ya Kipenzi chao.
Our Nation is going to HELL
acheni wivu wa kike....Kanumba sio mwenzenu hata kidogo!! kwanza nlisikia na super sport wangeonyesha...
duh nadhan jina lako tu linatosha kuonesha ww ni mtu wa aina gan...! waliwa atiii....!.....ivi watu wengine mkoje,.... Kanumba ana deserve hata CNN coverage.... By the way wewe waumia nin?
yaani babu umenena.kweli serikali ya jk inavichaa wa kuzaliwa km lusinde.sishangai
yaani babu umenena.kweli serikali ya jk inavichaa wa kuzaliwa km lusinde.sishangai[/QU
sina tatizo na clouds tv kuonyesha live mazishi ya kanumba, lakini hili la tbc 1 nayo kurusha live mazishi hayo linanishangaza sana. Hivi kwa tbc1 tv ya taifa, suala hilo ni muhimu kiasi hicho? Mbona coverage ya matokeo ya chaguzi ndogo huwa haifuatiliwi kiasi hicho?