Toa fungu la kumi litakulinda na magonjwa hata bi mkubwa anaweza kupona huo ugonjwa unaokula Hela , maana tunajua MUNGU akuleta magonjwa duniani magonjwa ni ya shetani , msikilize Mchungaji wako utanishukuru.
Acha utoto mpe hiyo chumba sio usingizie kuwa una mjengea kukulea na kuwakuza sio kazi ndogo ya kulinganisha na hicho kibanda mpe mwache mungu atakupa nyingine.
Mkuu nilinunua solar ndogo wt 60 campuni ya chloride exide, wakanipa na solar controller
Pia betri ya n 50 kwa ajiri ya kuwasha taa 5
Sasa fundi aliyekuja nifungia akasema hata tv yangu ni mfumo wa solar kwahiyo naweza tumia
Lakini usiku nikiwasha sana tv tunalala giza.
Vipi kuna uwezekano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.