Jamani kuna ndugu yangu ni graduate anataka kwenda jeshini mwaka huu. Maana ndo ilikuwa ndoto yake. Kwa sasa Ana miaka thelathini mwezi wa kumi na mbili ndo atatimiza miaka 31.swali langu je usaili ukifanyika kabla haijafika mwezi wa kumi na mbili atakuwa amekidhi vigezo au watamchukulia ana...
Mimi kuna rafiki yangu mmoja huwa nagombana nae kila siku. Stori zake ni mishahara ya kina Ronaldo tu. Utackia hivi unajua lonado analipwa bilioni mbili kwa wiki wakati yeye hana hata buku.na hana hata mpango angalau wa kumtafuta mkwanja.tujiangalie sana wengine tunaweza tukawa tulizaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.