Achana na mabilionea wa Arusha, Rostam Aziz sasa aingia kwenye orodha ya mabilionea (wenye dola za Kimarekani bilioni moja na zaidi) duniani.
Kwenye hii orodha mpya kashika namba 1565 na anakadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni moja.
============================
Wewe ndiyo hujitambui kabisa! Ona tu hata mantiki yako ilivyo!
Unalinganisha shoga na mwizi? Shoga anayejifanyia mambo yake chumbani kwake na mwizi anayeiba vitu na mali za watu unaona sawa wewe?
Shoga anachukua vitu vya nani? Anamtia nani hasara? Kulinganisha ushoga na wizi ni dalili ya kuwa...
Labda inatisha wasiojua!
Lakini kwa wanaojua kuwa huyo bwana ni mwizi wa maandiko ya wengine wala hawatishwi.
Kwani CV ndo nini bana? Si maandishi tu hayo.
Kilichomo kichwani mwa mtu kwangu ndo cha muhimu zaidi.
Hivyo, hata uwe na mi PhD mia, lakini kama una tabia ya kuigilizia kazi za watu...
Kama yeye hajitambui na hajiheshimu wengine inawahusu nini?
Maisha ni yao, miili ni yao, na hakuna mwingine mwenye mamlaka ya kuwachania nguo hata ziwe fupi. Wewe kama hupendi usivae hivyo. Lakini siyo kujipa usungusungu wa maadili na kujichukulia sheria mkononi.
Acha kupotosha wewe. Nani...
Right on mazee.
Halafu cha kushangaza zaidi unakuta wanawake wengine nao wanaona hayo manyanyaso ni sawa tu.
Lakini unategemea nini kwenye jamii ambayo haithamini utu wa mtu?
Thing is, NN (currently in abeyance) is not that fond of the sesquipedalianish jaw-breaking grandiloquence usage of any parlance.
He is more into effective communication for he believes that no effective communication can occur if the receiver(s) can't understand the message.
Highfalutinism...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.