sina hasira mkuu uji wa muhogo nimekunywa nashukuru kwa ushauri but jamaa ameshindwa elezea huo utapeli
pia na mimi nakushauri punguza balimi za offer itakusaidia
*pointi namba mbili jiongezee kwani anakushikia simu usijisajili na brokers wengine mbna me mwanafunzi toka TMT but sikushikwa shati kulazimishwa kutumia JPM
*kusema anamuheshimu rais wa JMT ndo kudharau serikali usiingilie uhuru wake heshima ipo kwake so usitake kuiendesha.....
* kuondolewa...
Naomba muache kukiponda na kukisingizia rushwa chama cha maharamia sisi rushwa kwetu hamna ndo maana hata mnyeti tulimpandisha cheo tena cha kuteuliwa na mkulu mwenyewe kwa sababu ya kukataa rushwa hadharani, acheni tutimize ilani yetu kwa wananchi wanaotuamini[emoji23]
Izo ndo movie nzuri unapasua kichwa kuelewa inataka nini? Kwa bongo movie nmeiona moja tuu inaitwa mama kijacho ya sajuki, sipendi bongo movie but nilinogewa nayo coz nilishtuka imefika mwisho ndo naelewa inataka nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.