Mitandao ambayo tunaitumia kujingizia kipato kwa Vijana wengi siyo ya hapa nchini ni ya wenzetu huko majuu, sasa ikitokea shida ni lazima kuwe na remote solution ambayo ni ngumu kusaidiwa haraka kutokana na ucentralized wake, mfano : watu wamewekeza kwenye YOUTUBE CHANNEL lakini account inaweza...
Wizara ya Afya (MOH) kupitia Ruzuku ya Mfuko wa Kimataifa (GF) inatafuta watu binafsi wenye ari, wabunifu na wenye nguvu ambao watafanya kazi chini ya , 2026) makubaliano ya kimkataba kujaza nafasi 123 zilizoachwa wazi.
YouTube leo imetangaza kuwa YouTube Music na YouTube Premium sasa zinapatikana #Kenya.
---
YouTube imetangaza kuwa YouTube Music na YouTube Premium sasa zinapatikana #Kenya. Upanuzi huu unaashiria hatua muhimu katika kujitolea kwa YouTube kutoa burudani iliyoboreshwa kwa watumiaji katika...
Kwa wale wanapenda kutumia business card kwenye Biashara zao. Tupo kwa bei rahisi kabisa tuna design tunapanga tunatuma soft copy unaprint kwa bei chee kwenye machimbo yako!
Karibu Sana namba zipo kwenye poster hapo.
hahaha kama unaijua hii pay as you earn ya hapa kwetu basi utafurahi hii ya youtube ikirudi hapa nchini kwetu , na kwenye ile fomu ya tax ads unapo ijaza kuna sehemu kabisa ya kuikimbia ama kuipunguza ikiwa unafanyia kazi nje ya US ila nchi ya sisi haipo kabsa ndio maana nasema kuna sehemu...
Youtube inachukua asiliamia 30 kama income tax (withholdtax) ambayo sidhani kama inafika ama kurudi hapa nchini kwetu.
Mfano: wimbo mmja wa DIAMOND PLATNUMZ uliwahi kufikisha Milioni 100 za kitanzania asilimia 30 yake ni milioni 30 zote zinakwenda USA.
Kungepatikana namna hata ya nchi...
Uhalifu wachache wa wanawake umejirudia katika historia kama ule wa Countess Elizabeth Báthory de Ecsed. Hata kama hujui jina hilo, basi kuna uwezekano kwamba umesikia hadithi kuhusu huzuni yake ya hadithi. Labda unafahamu kwamba ana heshima ya kutiliwa shaka ya kuwa muuaji wa kike mwenye uwezo...
Dogo Huyu ni hatari anatengeneza midundo mizuri sana kizuri ni kwamba anatemgeneza na kuuza kwa bei rahisi. Msikikize hapa moja ya mdundo wake kabisa
Link hii hapa:
Binti ambaye anajihusisha na mitinido. Na fasheni ukimuangalia vizuri kafanana sana na mwanamuziki mwana mitindo anasema anashangaa kwanni wanamfananisha na Hamisa misikilize hapa akihojiwa>>
Ulimwengu wa ajabu sana watu wanafanya maajabu pia ili kujipatia kipato, yawe ya kweli au ya uongo ilimradi tu wapate chochote mkononi kiende kinywani , sasa huyu jamaa nchi za wenzetu ameonesha akimeza kisu mitaani ili kufanya watu wafurahi na mazingaombwe yake zaidi nimekuekea link hapa.
Salute aisee
Huku harmonize Ana simulia kuna mchawi mmja alikuwepo kijijini sasa kila mmja alikuwa anataka kufundishwa uchawi ili waweze kuwakomesha watu wanaowachokoza ama kuwaudhi yeye ama wengine kwa kuwa fundisha siku moja yule mchawi .....
Link
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.