Mtoa mada, angekuwa ame make sense kama angetoa mada hii kabla ya tamko la TEC
Lakini na yeye ni walewale wafia dini kama wenzake wanavyorusha povu humu ndani..
Mara ohoo wagalitia wana roho mbaya
Wanaacha issue ya msingi wanakimbilia kwenye udini shame on u all na ninadhani aliyewaachia hiyo...
yeyote mwenye uamuzi wa hii kesi
Hamisi Jonathan John Mayage Vs. Board of External Trade Civil Appeal No. 37 of 2009, CAT
either uamuzi wa mahakama kuu
au mahakama ya rufani
naomba anisaidie soft copy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.