Swali zuri,
Naomba TCRA waje watujibu
Maana Kila dini inatakiwa idili na waumini wake na sio kupambanisha watu wao wanaowaamini
"KWA LENGO GANI"
Haya mambo ya kijinga tumeona yakifanyika huko kwa wenzetu tafadhali msituletee huku...
'Walioruhusu hili naomba wajitafakari tena au ikibidi...
Mtoa mada, angekuwa ame make sense kama angetoa mada hii kabla ya tamko la TEC
Lakini na yeye ni walewale wafia dini kama wenzake wanavyorusha povu humu ndani..
Mara ohoo wagalitia wana roho mbaya
Wanaacha issue ya msingi wanakimbilia kwenye udini shame on u all na ninadhani aliyewaachia hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.