Hatukatai maendeleo ya MTU lakini kama mdau alivyokwisha tangulia kama tungeona sehemu anayofanyia kazi bila shaka dhahiri, shayiri kwel ana pesa. Lakini kumbuka maendeleo ya mwanamke asiyeolewa................
Tuache kubishana kuhusu chuo kipi ni bora zaidi ya kingine elimu ya kibongo inafahamika ya kukamatana kwenye koz. We unae sema hivyo hiki bora kuliko hiki je kwa fact ipi? Je umesoma vyuo vyote ndo uanze linganisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.