Hiki ni kipande cha barua ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa Oysterbay kuwaalika wananch wake washriki sensa, Ametumia kiingereza kisome na wewe na upge picha je wananchi watamwelewa? licha ya kuwa broken.
Ichek na wewe
Picha yaweza kuwa ndogo but try to zoom it.
WADAU SAMAHANI KWA KUCHANGANYA MAJUKWA KWA WALIOSOMA UDSM TULIKUWA TUNAITA "KUMIX MADESA" Najua nilitakiwa niweke kwenye Sport forum, lakin I have tried my level best nimeshndwa forum in inopenable by my mobile.
Sory i feel sory 4 those who are not interested with soccer.
Karbu.
CECAFA MNAZIPONZA TEAM
ZA TANZANIA
Kagame Imekshwa na Hongera
watani YANGA Kwa kuutea
ubingwa wako
Lakini kama wapenda soka
mstakabali wa timu zetu niupi?
*Kwa utaratbu huu wa CECAFA
michuano kufanyikia kwetu kila
mwaka tmu zetu za Tz
zmekuwa zktwaa ubingwa kwa
sapoti ya Mashabiki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.