Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Mimi nikiwa kama mwanachi na mpenzi wa ccm.....migogoro hii isiposuluhishwa mapema inaweza kusababisha ccm kuondolewa madakakani uchaguzi mkuu 2015 kama ifuatavyo
1.mgogoro kati ya walimu na serikali
2.mgogoro kati ya madaktari na serikali
3.mgogoro kati ya waisilamu na serikali juu ya balaza la mitihani
4.mgogoro kati ya waisilamu na serikali juu ya mahakama ya kadhi
5.mgogoro kati ya waisilamu na serikali juu ya sensaa
6.mgogoro kati ya makarani wa sensa na serikali kuhusu posho za sensa
7.mgogoro kati ya wakazi wa kigamboni na serikali kuhusu kuondolewa wa wachimbaji wadogo
8.mgogoro kati ya wakurya na serikali kuhusu mgodi wa north mara
9.mgogoro kati ya serikali na wanafunzi wa elimu ya juu kuhusu bodi ya mikopo
10.mgogoro kati ya walionacho na wasiokuwa nacho........
Sasa baada ya hapo unaweza kuongezea za kwako unazozifahamu........hiyo migogoro
1.mgogoro kati ya walimu na serikali
2.mgogoro kati ya madaktari na serikali
3.mgogoro kati ya waisilamu na serikali juu ya balaza la mitihani
4.mgogoro kati ya waisilamu na serikali juu ya mahakama ya kadhi
5.mgogoro kati ya waisilamu na serikali juu ya sensaa
6.mgogoro kati ya makarani wa sensa na serikali kuhusu posho za sensa
7.mgogoro kati ya wakazi wa kigamboni na serikali kuhusu kuondolewa wa wachimbaji wadogo
8.mgogoro kati ya wakurya na serikali kuhusu mgodi wa north mara
9.mgogoro kati ya serikali na wanafunzi wa elimu ya juu kuhusu bodi ya mikopo
10.mgogoro kati ya walionacho na wasiokuwa nacho........
Sasa baada ya hapo unaweza kuongezea za kwako unazozifahamu........hiyo migogoro