Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Nimekutana na hiki kkundi kule facebook Tabora boys on facebook
Nimekaa bweni la SINA
hahhaaaa kuna vijana walikua wnamuita maduka kisha akiwafata wanashuka kupitia zile bomba za ruhinda!!Mie nilikua Ruhinda nafukuzana na mzee Maduka na Mwl madafu
hahhaaaa kuna vijana walikua wnamuita maduka kisha akiwafata wanashuka kupitia zile bomba za ruhinda!!
GALAPAGOS Chamber