Recent content by kelvyn

  1. K

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    mganga haagizi tembele,,,,,,,,MBAGALA TO POSTA ushuzi bora wa mwaka haukauki harufu.........MBAGALA TO MBANDE shuzi limepata mjambaji......MBAGALA TO MWEMBEKIUNO
  2. K

    Hivi airtel bado wanatuhurumia kwa usiku au?

    habari mkuu... samahani nilikuwa nami pia msaada wa hayo maujuzi kelvinadolfie@hotmail.com
  3. K

    Naombeni ushauri: Receiver ipi ni bora na zinapatikana wapi kwa hapa bongo?

    habari zenu ndugu zangu wanajf! Samahani wanajf kwa yeyote mwenye ujuzi na haya masuala ya satelite dishes, receiver na decoder nilikuwa naomba anishauri ipi ni bora na inauwezo wa kuonesha local channels, epl,movies za mbele etc. Nimewahi kununua ya strong hapo siku za nyuma lakini imekuwa ni...
  4. K

    Julio Iglesias

    me va me va...... manuela.....
  5. K

    Je unataka kuwa hacker nitatoa dalasa hapa

    we mleta sredi ninawasi wasi umegraduate pale chuo cha kkoo karibu na stendi ya kwenda mbagala......kwi kwi kwi kwi
  6. K

    Naomba uwe rafiki yangu.

    hilo tuuu halina shida kamanda,, ngoja nikuadd fasta
  7. K

    DSTV Sharing

    ile ya dodoma si dstv ni huduma fulani ya cable tv network ambapo wale wasambazaji wanakuwa na access na free channels nyingi na wao wanazisambaza kwa customers ndo maana wale waliojiunga kwa hii huduma kwa mkoani dodoma utaona mpira wa epl wao wanaupata kupitia abudhabi sports channel...
  8. K

    List ya recruitment agencies Tanzania

    thanks mkuu kwa uzalendo ulioonesha.. nitumie hiyo spreadsheet kwenye email ad yangu kelvinadolfie@hotmail.com
  9. K

    Wadau wa mmu jamii forums ushauri kwa irene uwoya

    unajua mi namlaumu sana shigongo na hivi vigazeti vyake vya udaku... watu wanaweza wakawa wanaumiza vichwa kumbe usikute hiyo stori imetengenezwa tuu ili wauze magazeti..... hakuna cha wameachana na wamerudiana...
  10. K

    Jukwaa La Mapishi, Food Corner

    Mkuu sijakupata hapa... Hapo kwenye tanduri unamaanisha kuwa tunatumia tandoori masala badala ya sindhi biryani masala au?? Semina kidogo ili jioni nizame kitchen
  11. K

    Diamond ampa kipigo Wema Sepetu amharibu uso kisa sms ya mapenzi

    umeshasahau kuwa hapo tayari kuna mimba ya miezi miwili..... duuuuuuu kweli ujana maji moto
  12. K

    Diamond ampa kipigo Wema Sepetu amharibu uso kisa sms ya mapenzi

    wote wawili ni wendawazimu tuu na its just the matter of growth cycle.... tatizo hapa hata hivi vigazeti vya shigongo vinakuwa vinawapa upromo sana.....
  13. K

    Peut-on savoir qui sur JF parle Francais?

    Salut, je parle francais... tres bonne initiative, felicitation
  14. K

    Peut-on savoir qui sur JF parle Francais?

    Salut, je parle francais... tres bonne initiative, felicitation
  15. K

    Mwenye notes za lugha ya kifaransa

    dah na mimi ukizipata nipm ninajifunza ila sipati watu wa kuchonga nao french mpaka niende kule alliance....
Back
Top Bottom