Recent content by kelvin baraka

  1. kelvin baraka

    Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

    Najua wapo wasio na iman ila kila binaadam anahali ya woga pale jina la mungu likitajwa kwahivo maombi sana, hii coona itasepa ilikotoka na kama ilitengenezwa basi adhabu itawarudia na hawataisha kutapatapa.
  2. kelvin baraka

    Namanga: Madereva 23 toka Tanzania wazuiliwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na COVID-19

    Piga kazi acha kua muoga! Zingatia barakoa kujizui mizunguko isio lazima nawa mikono kila wakati haya yote na mengineyo lakin pia zingatia lishe nzuri kila skku maana unapiga kazi na kipato unafanikiwa kupata.
  3. kelvin baraka

    Ni busara kuachana na mdogo-mtu ukawa na dada'ke

    Bitch like cocloach.[emoji88]
  4. kelvin baraka

    Second selection

    Hawana lolote wametulia pesa zetu na vyuo tumekosa hata tumeghaili.
  5. kelvin baraka

    Prof. Ndalichako anafaa kuwa Rais 2025

    Hata hafai kabisa kusema awe Tz Raisi is the big NO!
  6. kelvin baraka

    Prof. Ndalichako anafaa kuwa Rais 2025

    Mmmhu hapo nihatareee maana marekebisho yake yanawaumiza pia wanyonge,ona leo watu wanalalamika mikopo hakuna chuoni.
  7. kelvin baraka

    Watanzania muache huu ushamba mnapofika majuu

    Mhhuuuuuu na manka ataitwanan?
  8. kelvin baraka

    Tunakoelekea Walimu wataacha kuhangaika na mtoto wa mtu

    Mie pia nimefundisha ila sio kwa kasi ya hawa wasio na huruma hata chembe,ukichunguza utakuta misifa kibao kwa waalimu wenzao kutaka kujulikana wao ndo wao dhaaaaa.
  9. kelvin baraka

    Leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete

    kat Jakaya katisha kama zile ndege mpya za magufuli khahahhhhhh.
  10. kelvin baraka

    Ushauri: Napenda kutoka na walionizidi umri

    khahahahhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaa hatareeeeeeeee kubebwa rightttttttttttt khaaaaahhhhhhhh, you de queen of ma kingdom.
  11. kelvin baraka

    Hivi hili la walimu ni kubwa kuliko matukio mengine nchini?

    nashangaa pia ivi ungalikua wewe na hiko kipigo c ndomambo ya kurudishiana visasi baadae hafu hujui nini chanzo, tumekuelewa kwa uzi wako so! tulia tuli au act we mzazi wa huyo kijana na ikupate picha kama hiyo.
  12. kelvin baraka

    DIT selections zimetoka?

    Nikweli mkuu hilo tangazo ni kwa waombaji wa cheti na diploma.
  13. kelvin baraka

    TCU sipendagi ujinga mimi!

    Anawazo! labda tusubiri kujua antaka kufanya nn? labda ataomba msamaha hapa ndani.
  14. kelvin baraka

    Hii ndiyo ndege yenye ubora zaidi na starehe za kutosha kuliko yoyote duniani

    Utajikuta automatically imekupeleka selena hotel.
Back
Top Bottom