TCU sipendagi ujinga mimi!

TCU sipendagi ujinga mimi!

Jaman tcu mlipandisha grade ili tufeli ila bado tukachomoa one zetu na two zetu nzuri tu sasa huu ujinga wa kutunyima vyuo na kutusubilisha hivyo second round mnamaanisha nini? mi nimechoka ujinga wenu ikifka kesho kutwa kabla hamjatoa post za second round nitafanya uamzi mgum ambao hamjawahi kusikia!!!
Amazing creature!!
Hhhhhh
Upo sahihi ila ni sawa na panya kumtisha nyau!!
 
Jaman tcu mlipandisha grade ili tufeli ila bado tukachomoa one zetu na two zetu nzuri tu sasa huu ujinga wa kutunyima vyuo na kutusubilisha hivyo second round mnamaanisha nini? mi nimechoka ujinga wenu ikifka kesho kutwa kabla hamjatoa post za second round nitafanya uamzi mgum ambao hamjawahi kusikia!!!
Jiue tu ndugu hamna namna.
 
Back
Top Bottom