Maisha ya chuo ni mazuri kwa kupanga au kuishi hostel?

Mimi ni mwanafunzi na ninatarajia kujiunga chuo kikuu mwaka huu,,,,je maisha ya huko chuo ni mazuri kwa kupanga au kuishi hostel? Na nini mbinu nzuri za kutumia boom vizuri bila kuwazia kukopa pale unapoishiwa,,,maana huwa nasikia mpaka wanafunzi hasa wasichana wana diriki hata kujiuza ilimradi mkono uingie kinywani,,,,i need help!

Kama unaenda chuo cha afya,hususani MUHAS,kakae kwanza hostel then miaka inayofuatia utaenda kupanga nje (unaweza pia usiende kabisa kupanga ukaishia kubebwa Chole)
 
Panga chumba mdogo wangu. Hii option ina faida nyingi. Nakushauri mimi kwa kuwa maisha yote nimeyaishi wakati nipo chuo. Baadhi ya faida za kupanga ni:
1. Unakuwa mbali na kampani za washkaji ambao wengi wao boom likitoka wanawaza club na starehe nyingine ha hivyo kujikuta na wewe unaungana nao na kuwahi kufulia.
2. Gharama za kujipikia ni nafuu kuliko za chakula cha kununua ukiwa histel especially siku ambazo unakuwa hauna vipindi chuo.
3. Inakusaidia kuwa na asset zako mwenyewe kama tv, mziki, sopha na vitu vingine vidogo dogo ambavyo ukiwa hostel huwez kukaa navyo. Vifaa hivi ukimaliza chuo ukataka kurud home unaweza kuuza na ukapata hela.
4. Unajiandalia mazingira ya kubaki mjini kwa muda unaotaka mara umalizapo chuo ukifanya au kufatulia mambo mengine kama kutafuta kazi,n.k kwa kuwa unakuwa na mahali pa kwako pa kukaa.
5. Inakusaidia kukujengea uwezo wa kujitegemea na kujiamini. Hata ukimaliza chuo ukirudi home unaona unafurahia zaid kuishi peke yako kuliko kuwa nyumbani. Ukumbuke kwa umri wa kumaliza chuo (especially kwa wa kiume) ni umri sahihi wa kuanza kujitegemea na kuhitaji msaada kidogo kutoka kwa familia.
6. Unakuwa na uhuru wa kufanya mambo yako kwa uhuru kama mtu mzima. Kwa mfano kuwa na mwanamke muda wowote unaotaka, kukaribisha marafiki zako (school mates, nk) na ndugu zako na kukaa nao hata siku mbili tatu.
7. Akili yako inakomaa katka kuwaza na kubajet hela ya kodi, umeme, maji n.k hivyo unakuwa na akili iliyokomaa.
8. Mtaani ni rahis kukutana na watu walioko kazini au waliofanikiwa kimaisha na wakakupa mawazo au mbinu za kupata mafanikio au kukupa hata chanel za kazi kuliko hostel ambapo % kubwa ya wanafunzi mnakuwa fresh from school na wengi wanawaza kuingia chuo kula bata tu.
9. Una muda mzuri wa kusoma bila usumbufu/kelele za wanafunzi wenzio.

Ila:
*utakosa msaada wa haraka unalokuwa unasoma ukakwama mahali. Ni mpaka utakapokutana na wenzio chuo wakusaidie maana mtaani haukai na wanafunz wenzio.

Huenda yapo mengine mazuri kwa Hostel lakini pia huenda yapo mazuri mengine ya kupanga! Hii ina maana kupanga ni best option. Mimi imenitoa kisela na baada ta kumaliza chuo nipo hapa mjini na tayari nna mishe. Wenzangu waliokuwa hostel % kubwa wapo vijijini kwao wanalalamika.maisha magumu. Fanya maamuzi
Hongera mkuu...you're exemplary!!!
 
yaani kuna some guys wameumba kwa ajili ya kuwapa ushauri mzuri wenzao.
lakin guyz nyingine nouma kabisa wanapenda kucomplicatisha mambo
 
Namba 2, 3, 4 na 7 ni za ukweli hizo zingine zinaweza kufanyika hata hostel. Ila kupanga kutegemea na maeneo ya chuo kunaweza kuwa tatizo mfano unaweza kupanga eneo ambalo haipiti siku umeme lazima ukate na ukikata kurudi baada ya siku mbili mpaka tatu wakati hostel za chuo zinatumia jenereta la chuo kwa gharama ile ile. Pia kuna ishu za bili kuja ukiwa haupo vizuri maana unaweza kukuta chuo chenu hupewi boom mpaka mfanye mgomo na boom lenyewe linakuja mara mbili semista ina miezi 4 kuna ile miezi ya likizo lazima ujue unatoa wapi pesa ya bili na ya kula.

Ila mleta uzi kuna mchangiaji kauliza kua hujawahi hata kujimonitor?
Ila kama umesoma vzr maelezo yangu nimesema huenda kuna mazuri mengine ya hostel nimeyaacha lakini pia huenda kuna mzuri mengine ya kupanga nimeyaacha. Ukiangalia maelezo yako yamelenga zaidi katika challenge za kupanga na sio faida za hostel. All in all practically kupanga is the best. Sio kwa kuorodhesha point tu kama essay ila kwa maisha ambayo mimi na wenzangu tumeyaishi.

Sent from my TECNO M6 using JamiiForums mobile app
 
itakuwa vizur zaid kwa wewe frst year ukikaa hostel karibu na chuo,baada ya hapo unaweza kukaa kitaa baada ya kuzoea manzingira y chuo
 
Mkuu kelvin baraka,naona wamejikita kwa form six wanaoenda kuanza maisha ya chuo na kusahau diploma washapitia hayo.
 
Panga chumba mdogo wangu. Hii option ina faida nyingi. Nakushauri mimi kwa kuwa maisha yote nimeyaishi wakati nipo chuo. Baadhi ya faida za kupanga ni:

1. Unakuwa mbali na kampani za washkaji ambao wengi wao boom likitoka wanawaza club na starehe nyingine ha hivyo kujikuta na wewe unaungana nao na kuwahi kufulia.

2. Gharama za kujipikia ni nafuu kuliko za chakula cha kununua ukiwa histel especially siku ambazo unakuwa hauna vipindi chuo.

3. Inakusaidia kuwa na asset zako mwenyewe kama tv, mziki, sopha na vitu vingine vidogo dogo ambavyo ukiwa hostel huwez kukaa navyo. Vifaa hivi ukimaliza chuo ukataka kurud home unaweza kuuza na ukapata hela.

4. Unajiandalia mazingira ya kubaki mjini kwa muda unaotaka mara umalizapo chuo ukifanya au kufatulia mambo mengine kama kutafuta kazi,n.k kwa kuwa unakuwa na mahali pa kwako pa kukaa.

5. Inakusaidia kukujengea uwezo wa kujitegemea na kujiamini. Hata ukimaliza chuo ukirudi home unaona unafurahia zaid kuishi peke yako kuliko kuwa nyumbani. Ukumbuke kwa umri wa kumaliza chuo (especially kwa wa kiume) ni umri sahihi wa kuanza kujitegemea na kuhitaji msaada kidogo kutoka kwa familia.

6. Unakuwa na uhuru wa kufanya mambo yako kwa uhuru kama mtu mzima. Kwa mfano kuwa na mwanamke muda wowote unaotaka, kukaribisha marafiki zako (school mates, nk) na ndugu zako na kukaa nao hata siku mbili tatu.

7. Akili yako inakomaa katka kuwaza na kubajet hela ya kodi, umeme, maji n.k hivyo unakuwa na akili iliyokomaa.

8. Mtaani ni rahis kukutana na watu walioko kazini au waliofanikiwa kimaisha na wakakupa mawazo au mbinu za kupata mafanikio au kukupa hata chanel za kazi kuliko hostel ambapo % kubwa ya wanafunzi mnakuwa fresh from school na wengi wanawaza kuingia chuo kula bata tu.

9. Una muda mzuri wa kusoma bila usumbufu/kelele za wanafunzi wenzio.

Ila:
*utakosa msaada wa haraka unalokuwa unasoma ukakwama mahali. Ni mpaka utakapokutana na wenzio chuo wakusaidie maana mtaani haukai na wanafunz wenzio.

Huenda yapo mengine mazuri kwa Hostel lakini pia huenda yapo mazuri mengine ya kupanga! Hii ina maana kupanga ni best option. Mimi imenitoa kisela na baada ta kumaliza chuo nipo hapa mjini na tayari nna mishe. Wenzangu waliokuwa hostel % kubwa wapo vijijini kwao wanalalamika.maisha magumu. Fanya maamuzi
Mkuu umenena ukweli big up bora upange mtani unajifunza mengi ya kimaisha
 
Kipaumbele chako ni kipi hasa? Shule ama maisha nje ya elimu? Kwani kufikia umri ulionao wa kukufanya udahiliwe hukuwahi kuji monitor mwenyewe hata kwa level ya nyumbani tu?

JF kumeingiliwa na wadudu wa ajabu mno siku hizi.Mambo mengine hayahitaji kuyaleta humu kwakuwa unaweza kuyatatua mwenyewe pasipo msaada wa jf.Humu atakutana na kejeli,Majibu ya karaha nk.

Hana watu wa karibu wa kumsaidia kuyajibu maswali yake??

Hadi jinsi ya kutumia Mkopo tumpangie?? Ulichomuuliza nadhani ni sahihi.

Amesoma hadi Form six/Diploma,Yote aliyoyauliza hana experience nayo hata kidogo??

Akasome kwanza,Hayo mengine atayafahamu baadaye.Huo ni uoga.
 
JF kumeingiliwa na wadudu wa ajabu mno siku hizi.Mambo mengine hayahitaji kuyaleta humu kwakuwa unaweza kuyatatua mwenyewe pasipo msaada wa jf.Humu atakutana na kejeli,Majibu ya karaha nk.

Hana watu wa karibu wa kumsaidia kuyajibu maswali yake??

Hadi jinsi ya kutumia Mkopo tumpangie?? Ulichomuuliza nadhani ni sahihi.

Amesoma hadi Form six/Diploma,Yote aliyoyauliza hana experience nayo hata kidogo??

Akasome kwanza,Hayo mengine atayafahamu baadaye.Huo ni uoga.
Hatupendi ujinga sisi!
 
Panga chumba mdogo wangu. Hii option ina faida nyingi. Nakushauri mimi kwa kuwa maisha yote nimeyaishi wakati nipo chuo. Baadhi ya faida za kupanga ni:

1. Unakuwa mbali na kampani za washkaji ambao wengi wao boom likitoka wanawaza club na starehe nyingine ha hivyo kujikuta na wewe unaungana nao na kuwahi kufulia.

2. Gharama za kujipikia ni nafuu kuliko za chakula cha kununua ukiwa histel especially siku ambazo unakuwa hauna vipindi chuo.

3. Inakusaidia kuwa na asset zako mwenyewe kama tv, mziki, sopha na vitu vingine vidogo dogo ambavyo ukiwa hostel huwez kukaa navyo. Vifaa hivi ukimaliza chuo ukataka kurud home unaweza kuuza na ukapata hela.

4. Unajiandalia mazingira ya kubaki mjini kwa muda unaotaka mara umalizapo chuo ukifanya au kufatulia mambo mengine kama kutafuta kazi,n.k kwa kuwa unakuwa na mahali pa kwako pa kukaa.

5. Inakusaidia kukujengea uwezo wa kujitegemea na kujiamini. Hata ukimaliza chuo ukirudi home unaona unafurahia zaid kuishi peke yako kuliko kuwa nyumbani. Ukumbuke kwa umri wa kumaliza chuo (especially kwa wa kiume) ni umri sahihi wa kuanza kujitegemea na kuhitaji msaada kidogo kutoka kwa familia.

6. Unakuwa na uhuru wa kufanya mambo yako kwa uhuru kama mtu mzima. Kwa mfano kuwa na mwanamke muda wowote unaotaka, kukaribisha marafiki zako (school mates, nk) na ndugu zako na kukaa nao hata siku mbili tatu.

7. Akili yako inakomaa katka kuwaza na kubajet hela ya kodi, umeme, maji n.k hivyo unakuwa na akili iliyokomaa.

8. Mtaani ni rahis kukutana na watu walioko kazini au waliofanikiwa kimaisha na wakakupa mawazo au mbinu za kupata mafanikio au kukupa hata chanel za kazi kuliko hostel ambapo % kubwa ya wanafunzi mnakuwa fresh from school na wengi wanawaza kuingia chuo kula bata tu.

9. Una muda mzuri wa kusoma bila usumbufu/kelele za wanafunzi wenzio.

Ila:
*utakosa msaada wa haraka unalokuwa unasoma ukakwama mahali. Ni mpaka utakapokutana na wenzio chuo wakusaidie maana mtaani haukai na wanafunz wenzio.

Huenda yapo mengine mazuri kwa Hostel lakini pia huenda yapo mazuri mengine ya kupanga! Hii ina maana kupanga ni best option. Mimi imenitoa kisela na baada ta kumaliza chuo nipo hapa mjini na tayari nna mishe. Wenzangu waliokuwa hostel % kubwa wapo vijijini kwao wanalalamika.maisha magumu. Fanya maamuzi
Mkuu ongeza hapo gharama za lodge zinakuwa hazipo
 
Mimi ni mwanafunzi na ninatarajia kujiunga chuo kikuu mwaka huu,,,,je maisha ya huko chuo ni mazuri kwa kupanga au kuishi hostel? Na nini mbinu nzuri za kutumia boom vizuri bila kuwazia kukopa pale unapoishiwa,,,maana huwa nasikia mpaka wanafunzi hasa wasichana wana diriki hata kujiuza ilimradi mkono uingie kinywani,,,,i need help!

Binafsi nafikili inategemea upo chuo gani, ikiwa chuo kinatoa hostel kwa gharama nafuu sikushauli kabisa kukaa nje. Mfano chuo kama Udom japo mi sio mwanafunzi wa pale ila sioni umuhimu wa kukaa nje kwani nasikiaga kuna ma hostel yakutosha tena kwa bei chee sasa unakaa nje ili ugundue nini. Lakini pia kam wew ni mtu wa show za kibabe hostel sio mahara pako kwakua rum moja hautokaa pekeako kwhyo utakua usumbufu tu labda uwapate room mamber mnaoendana tabia.
Ila kam hostel za chuo chako zinagharama au upatikanaji wake ni mgumu karibu maisha ya getho chukua chumba mtaani fanya yako tena hapa unaku free kufanya unachojiskia pia ukiamu unaweza kujipikia mwenyewe ili upunguze gharama za maisha siku kidem chako kikija unakesha nacho na akuna wa kukuuliza ila usizoeee utafeli.
 
Mimi ni mwanafunzi na ninatarajia kujiunga chuo kikuu mwaka huu,,,,je maisha ya huko chuo ni mazuri kwa kupanga au kuishi hostel? Na nini mbinu nzuri za kutumia boom vizuri bila kuwazia kukopa pale unapoishiwa,,,maana huwa nasikia mpaka wanafunzi hasa wasichana wana diriki hata kujiuza ilimradi mkono uingie kinywani,,,,i need help!

Muombe Admin aondoe hiyo prefix ya Dr kwy jina lako then ntakushauri! Huwezi kujiita Dr wakati hata semister moja ya chuo hujui ipo vipi!
 
Subiri ukifika ndo utajua kipi bora raha ya ngoma ingia ucheze!!!!
 
Back
Top Bottom