Habari ndugu natafta scheme of work ya commerce nimegoogle nimekosa kama kuna mtu anafahamu nitapta wapi tafadhali naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sijaelwa naona dogo kanipgia simu anapaniki pliz nielewesheni ktika hili...yeye anaingia second year na alkua na 0 percent so akawa anapta boom tu halpwi tuitn fees so mins ata boom hatopta tena??au apa imekuajem au ndo kama alivosema kule juu kwamba hili swala haliwahusu wanaondela but only...
Ishu iko ivi wale ni wa2 wawili tofauti yule wa efm ni kweli ni wale wa picha za uchi na aw wa clouds wa2 walirusha picha zao za hrusi wakwa wansema ni wale wa uchi siku ya harusi yao but sio kweli so bwana harusi ikabidi ajitokeze akasema sio mke wake na wala hawahusiki ata kidogo na ata...
Kwani jela si uwa wanahesabu day and night as ni siku mbili??? I min ikifika asubuhi ni sku ya kwanza and usiku ni siku ya pili?? So mins miaka 6 ni mitatu kwa day and night au inakuaje mi iwa naelewa ivo na kama n ivo soon atatoka nahis kma anaaanda mazingira ya akirudi apate kiki kama vile...
Naomba unitajie jina unalotumia pliiiz i love cooking siku iz ad najishangaa yani nimekua nagoogle mapishi mbalimbali changamoto ni recipe ambazo nyingine sijawahi ata kuona [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.