Nilikutana nae nikiwa na binamu yangu safarin kibihashara, nilishndwa kujizuia ikabid nimuulize mwenyej wa eneo lile nyumba na mtaa anakoish yule mdada. Jion yake nikaenda na bnamu kwa yule mdada na tukaishia maongez ya kawaida na kupeana no. za cm.Cku ya 2 nilisafir kurud home na kumuacha bnamu...
..jamaa ni ndugu na Jack Pemba, anashnda pale Segerea mwisho ni educated na kuna kpnd anafundisha watoto tuition ya kingereza ila tatizo akir hazko sawa sababu ya poda na ndo kisa cha kufukuzwa urusi. alivokuja Tz mkewe (mzungu) alimfata na baada ya mda mkewe alifarik na nduguze walikataa kufata...
ndugu NYONI kutokana na jina lako hakuna shaka kuwa hospital unayoiongelea ni ya mkoa wa Ruvma, ila ungeanza kwanza kuuliza kwa nin majengo ya grade 1 katka hospital hyo yamedhaminiwa na waarab.!? bila shaka ni haohao ndio wamejenga na huo msikiti ikiwa ni kuendeleza utamaduni wao kumkumbuka...
ushukuru lile lori la pilipili lililokupa lift kuja hapa dar, nakumbuka mjomba ako alitutuma tuje tukupokekee kidongo chekundu ukiwa unapiga chafya sana.! na toka ufike hap umeanza kuchambua makosa hap na pale wakat hata miaka 10 hujamaliza, je tukikupa na kaudiwani itakuwaJE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.