FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!
Kiongozi wangu juu nakupa daraja upo juu wewe umefanya la maana sana. kuonyesha unajali michango ya wakuuWakuu nawashukurun nyote kwa ushauri wenu mzuri!!!
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!
inawezekana, nimefanya hivyo mimi....
Mie mke Wangu namzidi miaka 20 je nisawa?
kama unawasiwasi isimuoe.unawezakuoa mwanamke wa kuchaguliwa?jibu la hililitatoka moyoni mwako
Inawezekana bila ya tatizo lolote
Kila nikisoma post kama.hizi hua nasikitika sana kwann watu wanashi kwa mazoea namna hii
If she makes u happy what else do u need in this world?
kama unawasiwasi isimuoe.unawezakuoa mwanamke wa kuchaguliwa?jibu la hililitatoka moyoni mwako
kwan amekuzid miaka mingap? Ikizid sana huwa mbaya.