Dunia inaenda kasi sana, msitegemee mabadiriko yoyote kutoka kwa FISI WA CCM.
fisi ni FISI tu hawezi kuwa KONDOO.
kiufupi Ccm nzima hakuna kiongozi bora, bali watawala wenye wasiwasi wasiokuwa na matumaini ya kesho kisiasa. Ndio maana hawana siasa za kuvumiliana.
Vyooooote vinavyofanyika havijawahi kunisaidia mimi,zaidi zaidi kuniumiza tu.Afadhali Nkapa n'a Kikwete.
Utawala wa Ccm umekuwa wa ovyo Jiwe alipovamia FANI.
ccm iondoke tu n'a wasomi uchwara n'a Elimu mbovu.
Wasomi watanzania wakiingia siasani basi huwa wanastaafu utaalamu n'a kufuzu...
We acha kudhalilisha ualimu, c ungesema Lumumba buku 7000 hampendi kusikia jina Lisu.huyo jamaa ni fire hata m/kiti wako taifa la Ccm anamhanya. Khahahahaha
Wote hao niwasenge wote hawajielewi.
kesi y'a Mbowe vs jamhuri ndo inayopelekea kupewa majibu.
wasenge hawatulindi bali polisi ni majambazi yenye mafunzo.
Waambieni n'a wao waje n'a documents waliokuwa wanawakagulia.
Japo maana ya neno TRA=Tanzania Rushwa Automatic.
khahahahaha
Katiba y'a mwaka 1977.Eti bado inakidhi matakwa ya 2020-........
Kipindi hicho nasikia kulikuwa n'a redio inaitwa MUNINGA, leo hii ipo SABUFA.
Una akili nyingi, lakini hukujui kuzitumia.
Aliyetamka hadharani kuiua chadema yuko wapi, japo makatazo yake haramu bado yamekumbatiwa na majuha yenye uchu wa madaraka.
Kiufupi Chadema ndo habari y'a mjini kwa siasa za maziwa makuu.
Hawafanyi mikutano y'a hadhara,lakini ofisi zooooote za...
Alikua anavaa namba ngapi mwalimu we mshona viatu.
Watu kupotea, genge la wasiojulikana, watu kupiga risasi kwenye makazi y'a viongozi,demokrasia kupigwa nyundo. Ndo unashabikia.
Unangoja wapinzan wafungwe sasa ndo impe asilimia.
Kaa Ukijua ,kila aliefanya maovu dhidi y'a wengine kwa nia...
Acheni kutubwekea, kuweni n'a uvumilivu wapuuzi Nyie, je walio pamoja n'a Lisu,mbowe,azor,ben9 nao wasemeje. Mnadhani Mungu ni wenu tu !.
Mkayamalize Lumumba, hapa hapawafai Zombie.
Kwani ç nyinyi kwa nyinyi.
Wakipatikana Kina, Ben 9.Azor,Lijenje thread yako itakuwa na uharali mioyoni mwa wengi ndugu.
Tunashukuru Mungu kutuondolea Dubwasha Fran Hivi.
Kunya anye kuku,akinya Bata.....
Nchi inapitia katika wakati mgumu sana,chini ya hizi panya buku ambazo mpaka usalama wa taifa kuingia lazima utokee kwenye vigogo wa KIJANI.
nyerere aling'atuka akiacha nchi ikiwa n'a Katiba mbovu.
Wajibu ni wale wote wanaoamini kuwa,katiba y'a mwaka 1977,bado inafaa kwa mwendo wa Dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.