crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Jiongeze Kiongozi, mahaba yanashida ya kutudanganya sana. Ushindwe kwa kumweka binadamu na Mungu kundi moja.KWA bio binadamu walioshinda kifo na mauti ni wawili tu yesu na Tundu
Vipi ulienda Hiroshima na Nagasaki ukawahesabu waliopona baada ya kutandikwa bomu la Atomic?! Na wale nao tusemeje?!