Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,068
Rais Samia anasema kuna diwani alikuwa anapinga operation ya kuwaondoa wamachinga na leo kwenye mkutano wa Rais kule kigamboni kagoma kuja! Huyu diwani leo tena na wananchi wake wamegomea halfla ya utiaji saini wa kuchimba mchanga wakipinga mradi huo uko kigamboni!
Huyu Diwani kweli sio Sukuma gang kweli?
Nape,Bulembo mnamuachaje huyu diwani anamgombea Rais? Huyo diwani sio kiroboto? Huyu diwani hajui CCM ina wenyewe?
Huyu Diwani kweli sio Sukuma gang kweli?
Nape,Bulembo mnamuachaje huyu diwani anamgombea Rais? Huyo diwani sio kiroboto? Huyu diwani hajui CCM ina wenyewe?