Amani iwe nanyi, kweli CCM ni sikio la kufa, ujangili CCM, Lugumi CCM, Escrow, Meremeta Kagoda, vitambulisho feki vya taifa, Faru John, huu wizi wote unafanyika chini ya baraka za vigogo wa CCM na wanajuana na kulindana. Mkuu wa kaya amekuwa hodari wa kutumbua vipele majipu anayaogopa eti hataki...