KAKA UNAONGELEA,HAKI GANI?KATIBA IPI?HII ILOFUNGWA SANDA?KATIBA HAIFUATWI WALA KUHESHIMIWA NA WATAWALA,UTAPATA HAKI GANI?NAKUOMBA JITAFAKARI WW MWENYEWE UPO KUNDI GANI?LA MJINGA AU MPUMBAVU NI HAYO TU.
Ni kweli mm ndo niliua tembo mpaka faru john, pia mm ndonilisafirisha twiga,haikutosha nilibeba pesa za escrow kwenye mifuko ya sandarusi,pia ndo nilileta richmond baadae nikaibadili jina ikawa symbion,upo?
Ukweli lazima usemwe,ujinga miongoni mwetu, ufukara,maradhi,elimu duni, lishe duni haya yote yameletwa na CCM ili kumtawala mtanzania mnyonge.Hata ije serikali awamu ya kumi chini ya CCM tusitegemee watatujali, mfano mh. Sana analalamika kila uchafu na eti amesahau kuwa uchafu wote na majipu...
Amani iwe nanyi, Tanzania tulipata uhuru kutoka kwa Mwingereza na tangu uhuru mpaka leo naandika hapa tupo chini ya utawala Wa CCM chini ya mfumo wa vyama vingi kuanzia 1992 kwa mwongozo wa katiba yetu ya mwaka 1977 na marekebisho ya mara kwa mara(viraka). Sina nia ya kuwasimanga CCM,maana wote...
Amani iwe nanyi, kweli CCM ni sikio la kufa, ujangili CCM, Lugumi CCM, Escrow, Meremeta Kagoda, vitambulisho feki vya taifa, Faru John, huu wizi wote unafanyika chini ya baraka za vigogo wa CCM na wanajuana na kulindana. Mkuu wa kaya amekuwa hodari wa kutumbua vipele majipu anayaogopa eti hataki...
Kwa hili la kesi ya mbunge Lema inadhihirisha muhimili mahakama umeingiliwa na CCM. Nijuavyo mimi kesi ambayo haina dhamana ni mauaji, sasa inakuwa vipi mahakama inapokea hoja dhaifu za CCM na kumnyima mtu haki ya kikatiba ya dhamana? Mbona majangili mliyapa dhamana?
Au kwa kuwa majangili yale...
CCM mwogopeni mungu,umasikini tulionao umesababishwa na sera zenu mbovu,wizi na ufisadi. Acheni kuturubuni eti CCM ni kimbilio la wanyonge hiki ni chama cha majambazi,majangili na mafisadi nani anabisha? Hali ngumu ya maisha ni zao la CCM.
Tusishangae ya musa, bado ya firauni maana watanzania ugumu wa maisha tulionao ni shabaha na malengo ya ccm ili waendelee kuturawala. Leo umeme juu kisa IPTL january inakuja tusubiri mfumuko wa bei hasa kwa mazao ya chakula. Hakuna haja ya kulalamika tuendelee kuisoma namba, hapa kazi tu.
Ndugu amani iwe nanyi, hapa kazi2,kupanda umeme ni matokeo na ishara kwamba serikali chini ya CCM,imechoka na haina nia njema na watanzania. 8.5% ni kubwa mno yaani bado mpaka leo tunaingia2017 bado Tanesco wanatumia mafuta kuzalisha umeme na kuulangua kwa wananchi kwa Bei kubwa. Huku mtaani...
Amani iwe nanyi, napenda kuuliza je ni nani alie msafi ndani ya chama dola? Kuanzia tunapata uhuru mpaka sasa. Maana naona tunarudi nyuma baada ya kwenda mbele na hawa wakoloni weusi"CCM"wanaendelea kulindana na kujilimbikizia mali huku Mamilioni ya watanganyika wakiogelea kwenye bahari ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.