Umasikini wa watanzania umesababishwa na CCM

Kazimzubwee

Member
Nov 7, 2016
51
57
CCM mwogopeni mungu,umasikini tulionao umesababishwa na sera zenu mbovu,wizi na ufisadi. Acheni kuturubuni eti CCM ni kimbilio la wanyonge hiki ni chama cha majambazi,majangili na mafisadi nani anabisha? Hali ngumu ya maisha ni zao la CCM.
 
Hiyo chagadema ina nini cha maana ilichofanya miaka 25 sasa? ? Zaidi ya kula ruzuku na pesa pesa za wahisani huku ikiendelea kupanga uchochoroni mpaka leo? ?
 
CCM mwogopeni mungu,umasikini tulionao umesababishwa na sera zenu mbovu,wizi na ufisadi. Acheni kuturubuni eti CCM ni kimbilio la wanyonge hiki ni chama cha majambazi,majangili na mafisadi nani anabisha? Hali ngumu ya maisha ni zao la CCM.


Sawa Umaskini umesababishwa na CCM, na Je, CCM imesababishwa na nini?
 
Back
Top Bottom