Ukweli mchungu,CCM ndio wametufikisha hapa.

Kazimzubwee

Member
Nov 7, 2016
51
57
Tusishangae ya musa, bado ya firauni maana watanzania ugumu wa maisha tulionao ni shabaha na malengo ya ccm ili waendelee kuturawala. Leo umeme juu kisa IPTL january inakuja tusubiri mfumuko wa bei hasa kwa mazao ya chakula. Hakuna haja ya kulalamika tuendelee kuisoma namba, hapa kazi tu.
 
Hizi ID ndo zilifunguliwa siku mwenyekiti anezindua operesheni Kata funua...keep up the good job
 
Kweli Wametufikisha hapa Sumaye, Kingunge, Lowasa nao wakiwemo ila cha ajabu kuna watu leo wanatumia nguvu sana kutuaminisha kwamba hao jamaa ni wasafi.

Siasa na wanasiasa muda mwingine huwa ni kama michezo ya kuigiza.

Tusishangae ya musa, bado ya firauni maana watanzania ugumu wa maisha tulionao ni shabaha na malengo ya ccm ili waendelee kuturawala. Leo umeme juu kisa IPTL january inakuja tusubiri mfumuko wa bei hasa kwa mazao ya chakula. Hakuna haja ya kulalamika tuendelee kuisoma namba, hapa kazi tu.
 
Tusishangae ya musa, bado ya firauni maana watanzania ugumu wa maisha tulionao ni shabaha na malengo ya ccm ili waendelee kuturawala. Leo umeme juu kisa IPTL january inakuja tusubiri mfumuko wa bei hasa kwa mazao ya chakula. Hakuna haja ya kulalamika tuendelee kuisoma namba, hapa kazi tu.
Upuuzi tu wapelekee wapuuzi wenzako
 
Miaka zaidi ya 50 nchi inayokusanya kodi bado huduma za kijamii ni duni. Na hata hivyo baadhi yake zimebinafishwa.Ukiona nchi ambayo huduma za kijamii inasaidiwa na watu binafsi jua ni aibu.
 
Back
Top Bottom