You said it all shekhe wetu, kwa ufupi mkubwa mwanadamu lazima awe na muabudiwa, lazima aabudu na hakuna budi isipokuwa hivyo.
Sasa itakapokuwa wamemkataa yule muabudiwa wa kweli aliyewaumba na anayewaruzuku kutoka mbinguni na ardhini basi wataabudu vingine tu katika viumbe wenzao.
Huenda...
Nilikusudia wao wameshapiga hatua mkuu na si vyema kujiona wanyonge sana ni kweli tuna ardhi, ila ni ukweli kabisa sisi bado ni masikini kabisa, hatuwezi uzalishaji mkubwa kiasi hicho na utayari wa watu wetu ni disaster.
Hahahaahhahaha huu uzi nimecheka sana sasa hii nimeshindwa kuvumilia, sasa unawabeba kuwapeleka wapi na kwenu ndo hapa? hakuna kuondoka mtu na hakuna mahali unaenda mkuu.
Hayo ya kumuombea mimi pia hayanihusu ila unapunguza credibility hapa jukwaani kwasababu ya cheap politics, mgonjwa ni kijana huko mara na sio mzee Butiku.
Mkuu figganigga umekuwa mwongo sana siku hizi, nilikuwa na wewe bega kwa bega kwenye uzi wa vita ya Ukraine na Russia sasa wewe unavyoona mzee Butiku anaweza kulazwa hospital ya kangwa?.
Huu uzi aliuanzisha mdau kutoka huko majuzi akisema ni rafiki yake na ameumizwa kutokana na mambo ya mifugo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.