Wasuudi hawavai hivyo, huyo mzee ni kama msudan na hawezi kuwa boss wake, sijui uhalisia ila kwa nchi za kiarabu zilivyo hawezi kuwa boss wake na hapo huyo dada anatishia kumuita mtu huyu mzee anamnyamazisha.
Uislamu haujagawanyika makundi mawili mkuu, mashia kwenye vitabu vyao wanaeleza hata muabudiwa wa waislamu sio wanayemuabudu wao na swala zao ni tofauti bali wao wanaitukana familia ya mtume swala na amani ziwe juu yake kuliko hata mayahudi.
Qur'an hiyohiyo ieleze kwa ukali jinsi watu wa nabii Lut amani iwe juu yake walivyoangamizwa kwaajili ya kugeuzana wao kwa wao, kisha hiyohiyo iruhusu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile? kwani huyu muanzisha uzi nani asiyemjua humu, kwa kuleta habari za uongo na kuokota okota nukuu feki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.