Najua sana ila ndo nimekwambia kuwa imetoka katika mapokeo ya wayahudi katika habari zao za zamani, kwenye quran na hadithi hakuna kabisa hilo jina mkuu.
So haisemwi kuwa ni kutoka kwenye mafundisho sahihi ya kiislamu.
Haijanukuliwa popote pale kwenye nukuu sahihi kuwa Malaika wa kutoa roho anaitwa Israeli, katika Quran ametajwa kwa jina lake "malaika wa mauti" habari za Israeli zimetoka hukohuko kwenye visa vya wayahudi, bali kilichonukuliwa ni kuwa nabii Yaquub amani iwe juu yake ndio anaitwa Israeli na...
Achana nao mkuu kila siku tuko barabarani kuna muda wanatudissapoint kuna muda wanatusaidia, achana nao elfu 10 sio issue, tuendelee kupiga gear mkuu.
Mad Max
Miezi kadhaa nyuma nilienda abroad nikakaa kama mwezi mmoja, nilichojifunza nyumbani ni kuzuri sana na maisha yetu ya kitanzania jinsi tunavyosocialize hayana mfano popote hapa duniani, kwa sasa sifikirii tena kwenda nchi yeyote kutafuta maisha kwasababu Tanzania yetu ni nzuri sana, usiporead...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.