Recent content by Kazakh destroyer

  1. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    إنا لله وإنا إليه راجعون
  2. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Anunuliwa mwewe wa Billion 1.1 kama zawadi ya birthday

    incdcrrsszzz.
  3. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Huwa tunavumilia mkuu, jamaa ameharibu sana.
  4. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Amelazwa hospital baada ya kupigwa na wananchi {******} kusema ukweli huyu ndugu yetu sijui kama atarudi akiwa hai.
  5. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Huyu ndugu yetu watamgawana huko kituoni anaweza kupata masifa hapo kwa raia, ila sahii magoti yatakuwa yamehamishwa nyuma.
  6. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    إنا لله وإنا إليه راجعون، اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله وأغسله بالماء والثلج والبرد، ونقه من الذنوب والخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس، و أبدله دارا خيرا من داره وزوجا خيرا من زوجه، و ادخله الجنة و أعذه من عذاب القبر و عذاب النار
  7. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Karibu tupige gumzo kuhusu Biashara ya Duka genge

    Mkuu nzalendo ulipotea sana tulikukumbuka huku jukwaani, mi naomba kamtaji ka laki 6 tu, maana nimekuelewa kiundani.
  8. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu

    Amenikumbusha mbali lumuma ni mpakani mwa Dodoma na Morogoro huko mpwapwa, hapo ndo njia ya kuelekea milimani huko mbuga.
  9. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Kampala requires skill & creativity

    When I visited Kampala I realized that motorcycles outnumber Ugandans.
  10. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Reasoning gani hii mkuu, kwamba umewahi kumuona simba akienda chooni akishusha suruali kisha akimaliza anapandisha?.
  11. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    You said it all shekhe wetu, kwa ufupi mkubwa mwanadamu lazima awe na muabudiwa, lazima aabudu na hakuna budi isipokuwa hivyo. Sasa itakapokuwa wamemkataa yule muabudiwa wa kweli aliyewaumba na anayewaruzuku kutoka mbinguni na ardhini basi wataabudu vingine tu katika viumbe wenzao. Huenda...
  12. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Mkuu naona umekula ban moja matata kwenye main ID yetu, umekosa nini tena?.
  13. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Aise ; zawadi kwa ajili ya waumini na mashahidi peponi.

    "Nimewaandalia waja wangu wema yale ambayo jicho halijawahi kuyaona, sikio halijawahi kuyasikia, wala hayajawahi kumjia mwanadamu moyoni.” Bukhari na Muslim
  14. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Nilikusudia wao wameshapiga hatua mkuu na si vyema kujiona wanyonge sana ni kweli tuna ardhi, ila ni ukweli kabisa sisi bado ni masikini kabisa, hatuwezi uzalishaji mkubwa kiasi hicho na utayari wa watu wetu ni disaster.
Back
Top Bottom