Recent content by Kazakh destroyer

  1. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Reasoning gani hii mkuu, kwamba umewahi kumuona simba akienda chooni akishusha suruali kisha akimaliza anapandisha?.
  2. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    You said it all shekhe wetu, kwa ufupi mkubwa mwanadamu lazima awe na muabudiwa, lazima aabudu na hakuna budi isipokuwa hivyo. Sasa itakapokuwa wamemkataa yule muabudiwa wa kweli aliyewaumba na anayewaruzuku kutoka mbinguni na ardhini basi wataabudu vingine tu katika viumbe wenzao. Huenda...
  3. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Mkuu naona umekula ban moja matata kwenye main ID yetu, umekosa nini tena?.
  4. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Aise ; zawadi kwa ajili ya waumini na mashahidi peponi.

    "Nimewaandalia waja wangu wema yale ambayo jicho halijawahi kuyaona, sikio halijawahi kuyasikia, wala hayajawahi kumjia mwanadamu moyoni.” Bukhari na Muslim
  5. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Nilikusudia wao wameshapiga hatua mkuu na si vyema kujiona wanyonge sana ni kweli tuna ardhi, ila ni ukweli kabisa sisi bado ni masikini kabisa, hatuwezi uzalishaji mkubwa kiasi hicho na utayari wa watu wetu ni disaster.
  6. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Ishowspeed ni CIA kama mjatambua.

    Hahaah mwambie arudi kwenye uzi wake mkuu.
  7. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mkuu ni pabaya tu uchochoroni na mazingira machafu sana plus mrundikano wa mabasi mchanganyiko, hata stand ya katesh ni nzuri sana.
  8. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Ishowspeed ni CIA kama mjatambua.

    Mossad la mtambaswala.
  9. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Mkuu Saudi arabia ni nchi kubwa mara 2 na zaidi kushinda tanzania, sio kila sehemu katika hiyo nchi ni jangwa wana miradi ya kisasa na wana pesa hasa.
  10. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Nairobi kuna stendi gani umefika river road? nenda utaona uliza hata kidia na wenzie wanapaki gari wapi, Tanzania tuko mbali sana.
  11. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Mimi nimejaribu kuzurura ila village people wananirudisha maana nikifika huko nje home sickness inaniwinda vibaya mno.
  12. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Hahahaahhahaha huu uzi nimecheka sana sasa hii nimeshindwa kuvumilia, sasa unawabeba kuwapeleka wapi na kwenu ndo hapa? hakuna kuondoka mtu na hakuna mahali unaenda mkuu.
  13. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Hayo ya kumuombea mimi pia hayanihusu ila unapunguza credibility hapa jukwaani kwasababu ya cheap politics, mgonjwa ni kijana huko mara na sio mzee Butiku.
  14. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Hiyo logo nzuri sana nilikaribia kushona kanzu afu niiattach mgongoni.
  15. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Mkuu figganigga umekuwa mwongo sana siku hizi, nilikuwa na wewe bega kwa bega kwenye uzi wa vita ya Ukraine na Russia sasa wewe unavyoona mzee Butiku anaweza kulazwa hospital ya kangwa?. Huu uzi aliuanzisha mdau kutoka huko majuzi akisema ni rafiki yake na ameumizwa kutokana na mambo ya mifugo...
Back
Top Bottom