Recent content by Kazakh destroyer

  1. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kikenya arekodi na kusambaza video mwajiri wake akijaribu kumnyanyasa kingono jikoni huko nchini Saudia (video imeambatanishwa)

    Wasuudi hawavai hivyo, huyo mzee ni kama msudan na hawezi kuwa boss wake, sijui uhalisia ila kwa nchi za kiarabu zilivyo hawezi kuwa boss wake na hapo huyo dada anatishia kumuita mtu huyu mzee anamnyamazisha.
  2. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanazuoni wa Ahlu Sunnah wanaunga mkono maovu haya ya Umar Khattab?

    Sasa unanijibu mimi au huyo aliyesema uislamu umegawanyika makundi mawili.
  3. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanazuoni wa Ahlu Sunnah wanaunga mkono maovu haya ya Umar Khattab?

    Uislamu haujagawanyika makundi mawili mkuu, mashia kwenye vitabu vyao wanaeleza hata muabudiwa wa waislamu sio wanayemuabudu wao na swala zao ni tofauti bali wao wanaitukana familia ya mtume swala na amani ziwe juu yake kuliko hata mayahudi.
  4. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanazuoni wa Ahlu Sunnah wanaunga mkono maovu haya ya Umar Khattab?

    Mashia sio waislamu, ushia umeanzishwa na abdullah ibn sabai ambaye alikuwa myahudi, na ni uyahudi nyuma ya pazia la ahlul bayt.
  5. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanazuoni wa Ahlu Sunnah wanaunga mkono maovu haya ya Umar Khattab?

    Qur'an hiyohiyo ieleze kwa ukali jinsi watu wa nabii Lut amani iwe juu yake walivyoangamizwa kwaajili ya kugeuzana wao kwa wao, kisha hiyohiyo iruhusu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile? kwani huyu muanzisha uzi nani asiyemjua humu, kwa kuleta habari za uongo na kuokota okota nukuu feki...
  6. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanazuoni wa Ahlu Sunnah wanaunga mkono maovu haya ya Umar Khattab?

    Moderator Paw Cookie Kwanini mnaruhusu haya matusi kupanda hewani?.
  7. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Kumbe Bonge wa Zimbabwe ni Mtu wa Pisi Kali. Licha ya Kuonekana Tipwa Tipwa, ni Mtu wa Kazi na Anapiga Kazi Kweli Kweli kwenye mambo yetu yale

    Pascal Mayalla mkuu leo hujaandika vyema, somehow umevuka boundaries, I wish usingeandika.
  8. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    okay seen.
  9. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    So nikianza kufanya payment nafanya ana ana do, itakuwa tigo, airtel, voda? sawa mkuu.
  10. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwekezaji wa Milioni 10+ Kwenye Crypto Trading. Mtaji Unakaa Kwenye Akaunti Yako (Self-Custody). Lengo: Hadi Tsh 500,000 kwa Siku

    Nikiona candlesticks nakumbuka mbali sana, ushauri wangu mtu asiingie kwenye hii fursa kwa maneno ya $200 kila siku.
  11. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Ohhh lipa namba please.
  12. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Kwahiyo unataka chaji tu uweke mkuu.
  13. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Mimi sio mtaalamu wa uchukuaji wa picha mnato na mjongeo, ila ukiweka kamera karibu kama hivyo pua ya mzungumzaji inakuwa kubwa zaidi.
  14. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Infinix yako ni hot ngapi mkuu.
  15. Kazakh destroyer

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Seran
Back
Top Bottom