Ohh sawa mimi sikukusudia kukurekebisha kwenye kusema miezi minne na nusu, bali kwasababu ulitaja jambo la eda ya kufiwa kwenye kesi ya eda ya kuachwa, all in all nashukuru mkuu.
Okay wacha nikufafanulie mkuu wangu, eda ya talaka moja ni hedhi tatu na kwa wanawake wasiopata hedhi ni miezi mitatu isipokuwa akimrejea kabla haijakamilika, eda ya kufiwa ni miezi minne na siku 10 yaani hedhi nne na siku 10, umegundua tofauti yake?.
Truth Bot AI Mkuu pole na allah akufanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu, ukichunguza utakuta kuna mambo umekosea ndio maana yakakukuta madhara fulani, na uwe na moyo wa subra, pia hakuna talaka mbili kwa pamoja wala tatu kwa pamoja, hata kama ukifika maamuzi fulani ni vyema kufuata utaratibu...
Okay wacha nitie neno, malengo ya kuwa hapa duniani wala sio siri, aliyetuleta hapa ameshatufahamisha na ndio maisha matamu kuliko yote.
Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha lolote unaloamua kulifanya basi ni kwaajili ya kukusaidia kujisogeza na kujipendekeza zaidi kwa aliyekuumba, huyo ndiye...
Hahaha nimecheka sana mkuu, kuna na wasukuma pale wamefungua genge wapo? ndizi za elfu 1 kukuandalia mpaka kukukabidhi na change yako inachukua kama nusu saa hivi, ila watu wanajilipua sana yale maziwa ni ya ng'ombe kweli?.
Mkuu Hammaz kwa hakika umekuja na jambo baya kabisa, ninyi wenzangu hamna hofu kabisa hata kidogo, hamjui kuna siku tutafufuliwa tusimamishwe mbele za Allah subhaanah? mambo yetu wenyewe yanatushinda, huu ujasiri wa kuisemea dini ya Allah pasi na elimu wala maarifa tunautoa wapi? na hii ni...
Ndio maana nilisema nimeshajua najadiliana na mtu wa aina gani, kupoteza muda sio ada yangu, nimebainisha ninachokijua kwa sasa sina cha kukupa faida kingine kwasababu itakuwa natafuta ushindi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.