Recent content by Kazakh destroyer

  1. Kazakh destroyer

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Hahahah sawa mkuu ngoja tuone wasalimie sana hapo karakana ya kutengeneza makombora.
  2. Kazakh destroyer

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Hahahaha ila nyie, kwamba iran itailinda NATO just simu moja tu wanatia timu.
  3. Kazakh destroyer

    SAFI SANA, Trump amejishusha na kukubali kusitisha mashambulizi Iran

    Labda ameandika huku akiwa analia mkuu.
  4. Kazakh destroyer

    Kenya is going cashless

    Nashukuru mkuu, soon naanza kamchakato inshaallah.
  5. Kazakh destroyer

    Kenya is going cashless

    Unafanyaje mkuu, yaani unakuwa na nini app au?.
  6. Kazakh destroyer

    Kwanini waislamu wanamuita malaika mtoa roho "Azrael/Israeli ?

    Najua sana ila ndo nimekwambia kuwa imetoka katika mapokeo ya wayahudi katika habari zao za zamani, kwenye quran na hadithi hakuna kabisa hilo jina mkuu. So haisemwi kuwa ni kutoka kwenye mafundisho sahihi ya kiislamu.
  7. Kazakh destroyer

    Kwanini waislamu wanamuita malaika mtoa roho "Azrael/Israeli ?

    Haijanukuliwa popote pale kwenye nukuu sahihi kuwa Malaika wa kutoa roho anaitwa Israeli, katika Quran ametajwa kwa jina lake "malaika wa mauti" habari za Israeli zimetoka hukohuko kwenye visa vya wayahudi, bali kilichonukuliwa ni kuwa nabii Yaquub amani iwe juu yake ndio anaitwa Israeli na...
  8. Kazakh destroyer

    Waliopatwa na hii hali karibuni tufarijiane

    Understanding Islam Mshana Jr Tafuta hiyo documentary usome ukiwa non biased mambo yatakuwa mazuri inshaallah.
  9. Kazakh destroyer

    DOKEZO Matrafiki watatu wa Msolwa - Chalinze: Nina video yenu na sauti Live mkiomba na kupokea rushwa!

    Vitu vidogo vidogo tujifunze kupotezea, hii haikupaswa kuwa mada kabisa hawa maafande tunaishi nao tu mbona.
  10. Kazakh destroyer

    DOKEZO Matrafiki watatu wa Msolwa - Chalinze: Nina video yenu na sauti Live mkiomba na kupokea rushwa!

    Mimi ni dereva mzoefu, niko barabarani kila leo, am too old for elfu 10, man up mkuu.
  11. Kazakh destroyer

    DOKEZO Matrafiki watatu wa Msolwa - Chalinze: Nina video yenu na sauti Live mkiomba na kupokea rushwa!

    Achana nao mkuu kila siku tuko barabarani kuna muda wanatudissapoint kuna muda wanatusaidia, achana nao elfu 10 sio issue, tuendelee kupiga gear mkuu. Mad Max
  12. Kazakh destroyer

    Katika mahusiano kuna age fulani ikifika unasema ningelijua, ndio basi tena

    Ni nje ya Africa, anyways that's your opinion, no offense.
  13. Kazakh destroyer

    Katika mahusiano kuna age fulani ikifika unasema ningelijua, ndio basi tena

    Miezi kadhaa nyuma nilienda abroad nikakaa kama mwezi mmoja, nilichojifunza nyumbani ni kuzuri sana na maisha yetu ya kitanzania jinsi tunavyosocialize hayana mfano popote hapa duniani, kwa sasa sifikirii tena kwenda nchi yeyote kutafuta maisha kwasababu Tanzania yetu ni nzuri sana, usiporead...
Back
Top Bottom