إنا لله وإنا إليه راجعون، اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله وأغسله بالماء والثلج والبرد، ونقه من الذنوب والخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس، و أبدله دارا خيرا من داره وزوجا خيرا من زوجه، و ادخله الجنة و أعذه من عذاب القبر و عذاب النار
You said it all shekhe wetu, kwa ufupi mkubwa mwanadamu lazima awe na muabudiwa, lazima aabudu na hakuna budi isipokuwa hivyo.
Sasa itakapokuwa wamemkataa yule muabudiwa wa kweli aliyewaumba na anayewaruzuku kutoka mbinguni na ardhini basi wataabudu vingine tu katika viumbe wenzao.
Huenda...
Nilikusudia wao wameshapiga hatua mkuu na si vyema kujiona wanyonge sana ni kweli tuna ardhi, ila ni ukweli kabisa sisi bado ni masikini kabisa, hatuwezi uzalishaji mkubwa kiasi hicho na utayari wa watu wetu ni disaster.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.