Recent content by Kazakh destroyer

  1. Kazakh destroyer

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Ohh sawa mimi sikukusudia kukurekebisha kwenye kusema miezi minne na nusu, bali kwasababu ulitaja jambo la eda ya kufiwa kwenye kesi ya eda ya kuachwa, all in all nashukuru mkuu.
  2. Kazakh destroyer

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Okay wacha nikufafanulie mkuu wangu, eda ya talaka moja ni hedhi tatu na kwa wanawake wasiopata hedhi ni miezi mitatu isipokuwa akimrejea kabla haijakamilika, eda ya kufiwa ni miezi minne na siku 10 yaani hedhi nne na siku 10, umegundua tofauti yake?.
  3. Kazakh destroyer

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Point of correction dokta, eda ya kufiwa ndio miezi minne na siku 10.
  4. Kazakh destroyer

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Truth Bot AI Mkuu pole na allah akufanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu, ukichunguza utakuta kuna mambo umekosea ndio maana yakakukuta madhara fulani, na uwe na moyo wa subra, pia hakuna talaka mbili kwa pamoja wala tatu kwa pamoja, hata kama ukifika maamuzi fulani ni vyema kufuata utaratibu...
  5. Kazakh destroyer

    Ijue Misri, nchi yenye historia kubwa duniani

    Their testimony will be recorded and they will be questioned.....
  6. Kazakh destroyer

    Ambaye ameweza kugundua Purpose ya maisha yake!! Aniambie alifanyaje fanyaje

    Okay wacha nitie neno, malengo ya kuwa hapa duniani wala sio siri, aliyetuleta hapa ameshatufahamisha na ndio maisha matamu kuliko yote. Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha lolote unaloamua kulifanya basi ni kwaajili ya kukusaidia kujisogeza na kujipendekeza zaidi kwa aliyekuumba, huyo ndiye...
  7. Kazakh destroyer

    Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

    Hahaha nimecheka sana mkuu, kuna na wasukuma pale wamefungua genge wapo? ndizi za elfu 1 kukuandalia mpaka kukukabidhi na change yako inachukua kama nusu saa hivi, ila watu wanajilipua sana yale maziwa ni ya ng'ombe kweli?.
  8. Kazakh destroyer

    Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

    Ahahhah mwambie mteja tu mkuu, usisahau kupitia samaki kau kau wa kukaanga kwenye sinia, pale mbele kuna mwamba anawapepea nzi kwa mkono.
  9. Kazakh destroyer

    Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

    Mkuu msalimie huyo babu hapo nazareth butcher.
  10. Kazakh destroyer

    Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

    Wakuu nasikitika kuwapa taarifa ya kifo cha shemeji yetu mke wa prospilla aliyemuanzishia huu uzi. إنا لله وإنا إليه راجعون
  11. Kazakh destroyer

    Unayoyajua na usiyoyajua kuhusu wanyama wakufugwa..

    Uzi mzuri sana, big up mkuu Its Pancho
  12. Kazakh destroyer

    Naomba kuelimishwa kuhusu Shudhuly

    Shukran, Allah atuongoze sote katika njia ya sawa.
  13. Kazakh destroyer

    Naomba kuelimishwa kuhusu Shudhuly

    Mkuu Hammaz kwa hakika umekuja na jambo baya kabisa, ninyi wenzangu hamna hofu kabisa hata kidogo, hamjui kuna siku tutafufuliwa tusimamishwe mbele za Allah subhaanah? mambo yetu wenyewe yanatushinda, huu ujasiri wa kuisemea dini ya Allah pasi na elimu wala maarifa tunautoa wapi? na hii ni...
  14. Kazakh destroyer

    Naomba kuelimishwa kuhusu Shudhuly

    Ndio maana nilisema nimeshajua najadiliana na mtu wa aina gani, kupoteza muda sio ada yangu, nimebainisha ninachokijua kwa sasa sina cha kukupa faida kingine kwasababu itakuwa natafuta ushindi.
Back
Top Bottom