Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,416
- 82,284
NakutagSijajua kinachoendelea hata...
Hebu nifafanuliea babe.
NakutagSijajua kinachoendelea hata...
Hebu nifafanuliea babe.
Muuzaji anatakiwa kuzingatia mahitaji na maslahi ya wateja. Kama mtu ameamua kuuzia Kigoma ajikite huko huko kwa waha. Sio leo unauza Mtwara, kesho Simiyu, kesho kutwa Arusha. Hiyo haifai.Ukiitaka mali utaipata shambani, as long as unanunua huna haki yoyote ya kuipangia matumzizi, nunua tumia tupa kule..
Fanya hivyo.Nakutag
Huu Uzi bila picha aaarrrggg!!
Je kama muuzaji anatafuta investors wakubwa zaidi, nyinyi wateja wa KG mnanunua buku dasi, labda mtwara wanatoaga teni teni, simiyu nako si haba, kwanini nisidandie SGR nikaokote kamilioni, nikakazane huko buzebazeba, uke unaongeza miles tu na sioni mafanikio zaidi ya kuokota cha milo miwili mitatu?Muuzaji anatakiwa kuzingatia mahitaji na maslahi ya wateja. Kama mtu ameamua kuuzia Kigoma ajikite huko huko kwa waha. Sio leo unauza Mtwara, kesho Simiyu, kesho kutwa Arusha. Hiyo haifai.
Live bila chenga halafu Sasa vinakua vinaboaVikiwa kapuku ndio vinaonekana?
Mkuu naona umekula ban moja matata kwenye main ID yetu, umekosa nini tena?.Ndo nature yako kubali yaishe tu.
Mimi nikitembea na madogo wanaamkiwa wao
MeWewe ni Ke?
I dedicate to them bitchě$, the song called Mileage by B2K.Je kama muuzaji anatafuta investors wakubwa zaidi, nyinyi wateja wa KG mnanunua buku dasi, labda mtwara wanatoaga teni teni, simiyu nako si haba, kwanini nisidandie SGR nikaokote kamilioni, nikakazane huko buzebazeba, uke unaongeza miles tu na sioni mafanikio zaidi ya kuokota cha milo miwili mitatu?
Ana id ngapi?Mkuu naona umekula ban moja matata kwenye main ID yetu, umekosa nini tena?.
88kg kwa kimo gani?Kama unatoka kula uzazi uzito unaweza kuwa mkubwa, ila 88kg kwa binti ni nyingi naona. Wewe sio portable tena, heavy truck 😅
Sasa utaamlia wateja wangapi? huko ni kubadili maisha yao wakati hujaombwa!I dedicate to them bitchě$, the song called Mileage by B2K.
Sipo kama inspector mwala mie 5'4 inanitosha babu,

Inspector mwala yule mkenya?😅Sipo kama inspector mwala mie 5'4 inanitosha babu,
Happy morning glory and happy sabbath to you!![]()
huo ni urefu babu,Inspector mwala yule mkenya?😅
5'4" ndio kiaje in cm?
Morning glory na huyu mzungu wa nne hata havichekeshi.😅
Aah imebidi niangalie, vipimo kwa inch vinanipa tabu sana, 162cm sio haba mjukuu.huo ni urefu babu,
Hahaha majaribu ni kipimo cha imani, nenda naye kiulaulalo tu 😆
Hahhaa wazee wa sikuhizi mna mbinu!Aah imebidi niangalie, vipimo kwa inch vinanipa tabu sana, 162cm sio haba mjukuu.
Mambo ya morning glory hata sio lazima kwa wazee.