Mossad la mtambaswala.Mchambuzi kutoka kusini mwa jangwa la sahara😄😁😄
Sasa mimi na wewe nani hapa ni mjuaji? nani kaonyesha ujuaji? tena wewe ndio umeonyesha ujuaji kuishinda mpaka Intelligencia ya China MSS,Kwani nakubishia we mjuwaji.Omba uhai utarudi kuja kufuta unachosema.
Dah mnampelekea sana moto et mossad la mtambaswalaMossad la mtambaswala.
We jamaa una roho yenye kutu kabisa daa😂😂Kwahiyo wachina waliopo China wameshindwa kumjua huyo Ishowspeed kua ni undercover wa CIA ila wewe mmatumbi uliyopo huko Nzega ndio unajua kua jamaa ni undercover sio?
Sasa wewe mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega tuambie basi umejuaje kua Ishowspeed ni undercover wa CIA?
Mkuu umeangalia sana Mission Impossible, ukiona Tom Cruise Dubai anakimbia kimbia vile speed na suti yake unafananisha na IshowspeedUzuri sio kila jambo kufunguka omba uhai utarudi kusoma uzi huu upya.
Mtu kuweka stream online kila nchi ndio kuwa jasusi?Hakuna cha bahati wala kusema zari.Ukweli ambao mfahamu huyu dogo ni undercover wa CIA.
kitu ambacho bado mjaweza kushtuka kwa nini anaweza kuwa stream online kila nchi anapokwenda.
Mshawahi kujiuliza 🧐 ?.Kitu ambacho wachina walijichanganya kumkaribisha kwao na kuna siku mtaniambia ?.
Sio kila jambo duniani ni kufunguka.
Hahaah mwambie arudi kwenye uzi wake mkuu.Dah mnampelekea sana moto et mossad la mtambaswala