Ishowspeed ni CIA kama mjatambua.

Ishowspeed ni CIA kama mjatambua.

Kwahiyo wewe una siri ambazo China wao hawazijui,mpaka wewe unasema huwezi kufunguka ili ubaki na hiyo siri sio?
Wabongo bhana!
Kwani nakubishia we mjuawaji.Omba uhai utarudi kuja kufuta unachosema.
 
Kwani nakubishia we mjuwaji.Omba uhai utarudi kuja kufuta unachosema.
Sasa mimi na wewe nani hapa ni mjuaji? nani kaonyesha ujuaji? tena wewe ndio umeonyesha ujuaji kuishinda mpaka Intelligencia ya China MSS,

Kwahiyo na Intelligencia ya China nayo pia iombe uhai ili ije kujua huko mbeleni kua Ishowspeed ni undercover wa CIA sio?
 
Code name Ridhiwan Maspidi
Hatari kwa Ujasusi wa Kustream.
FB_IMG_17854787269783690.jpg
 
Kwahiyo wachina waliopo China wameshindwa kumjua huyo Ishowspeed kua ni undercover wa CIA ila wewe mmatumbi uliyopo huko Nzega ndio unajua kua jamaa ni undercover sio?

Sasa wewe mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega tuambie basi umejuaje kua Ishowspeed ni undercover wa CIA?
We jamaa una roho yenye kutu kabisa daa😂😂
 
Uzuri sio kila jambo kufunguka omba uhai utarudi kusoma uzi huu upya.
Mkuu umeangalia sana Mission Impossible, ukiona Tom Cruise Dubai anakimbia kimbia vile speed na suti yake unafananisha na Ishowspeed
 
Mwacheni huyu jamaa msimshambulie jmn, hata mimi napènda hizi story za hivi.

Story ambazo azina chanzo wala ushaidi zinachangamshaga huku gengeni hatari...

Leo naenda kuwashushia mzigo kama ulivo, na wananiogopaga maana story zangu nimpya na za kiintelijensia..

Juzi niliwaletea kuhusu Nchimbi wote midomo wazi leo naenda kuwapa hiii
 
Hakuna cha bahati wala kusema zari.Ukweli ambao mfahamu huyu dogo ni undercover wa CIA.

kitu ambacho bado mjaweza kushtuka kwa nini anaweza kuwa stream online kila nchi anapokwenda.

Mshawahi kujiuliza 🧐 ?.Kitu ambacho wachina walijichanganya kumkaribisha kwao na kuna siku mtaniambia ?.

Sio kila jambo duniani ni kufunguka.
Mtu kuweka stream online kila nchi ndio kuwa jasusi?

Streaming si hata vilaza tu makapuku wanafanya. Utachelewa sana dunia hii ya teknolojia.
 
Ndio nani huyo huko daslam? Maana watu maarufu wanaongezeka kwa kasi sana zaidi ya huku Isangawana kuelekea Bintimanyanga ukitokea kijijini Mpigamiti
 
Huyo dogo is too loud kuwa undercover, labda useme ni ajenti wa burudani sio wa intelijensia!
 
Back
Top Bottom