Na wakati anaanza kazi ya ualimu miaka 30 iliyopita alikuwa hana hela ya kutosha hata kabati yao ya kwanza waliokota yeye na mkewe wakati hoteli walipoitupa kwa ajili ya ukarabati
Kuna mbebez super mtindiZzz hapa wanasema they love u so much mpaka wanaumwa wanaomba cku moja waje ofisi yako downtown wapige picha na ww,they really love every gadem thing u do,wakasema u are very humble u knw
Le Mutuz na Mimi nataka hapa mjini niwe Kama we we,nikae downtown ,magezeti ya kesho niwe nasoma leo,mbembezi super mtindiz wawe wanakuja kwa of is I Yangu downtown
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.