Hii ya huyu mama hata mm nimeishuhudia! Haya wa Tanzania/wana Urambo kazi kwenu kwakuwa siku hizi maisha magumu hizo rushwa nyie kuleni ila kupiga kura ni siri so Mabadiliko hata ya ukoo tuu yatahusika hapo
Kingine nilichogundua ktk mikutano ya kampeni ya ccm ni kwamba hiyo nyomi ya watu sio kwamba wanakuja sikiliza ilani bali wanakuja ona wasanii na kuburudika kwa ujumla, wakati magufuli anaongea watu walikuwa busy kupiga story ila alipopanda msanii jukwaani kulikuwa na shangwe za kufa mtuu...
Mkuu hajavunja rekodi ya papa, uwanja haukujaa wote! Papa alijaza uwanja wote! Mimi nilikuwepo uwanjani sema tuu huwa wanapiga picha eneo moja ambalo watu wamekusanyika!:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.