Nikiwa darasa la Sita Kamunyonge primary School Musom, bahati mbaya nilimpiga kichwa kitakatifu mwalimu mkuu marehem Nashon Matete kwenye kona akazimia wakati tunacheza mchezo wa kukimbizana na wenzangu. Kilichonipata baada ya ticha kuzinduka ni siri yangu!
Kama mara ya kwanza aliandikiwa "LOAN BREAK DOWN" then now status imebadilika, mwambie ackacheki majina yaliyopelekwa chuo maana yametoka ya aina mbili.
Kuna waliopata full mkopo ikiwemo boom na ada na kundi la pili wamepata boom tu. Mdogo wangu pia aliandikiwa mwanzo Loan break down ila jana...
Ni kitenzi KISAIDIZI.
Sentensi hiyo haijakamilika kwa sababu sifa kuu ya sentensi ni lazima itoe taarifa kamili.
Unaposema "wanafunzi walikuwa shambani" sentensi haijakamilika, wapaswa kukamilisha walichokuwa wanafanya huko shambani ambacho ndo kitakuwa kitenzi kikuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.