Habarini wanajamvi
Nina shida, namtafutia mdogo wangu shule ya sekondari ya private nzuri nimuhamishie. Mdogo wangu alikuwa seminary ameshindwa kufikia wastani wa 50 na amepata 45 so wamekataa aendelee. Please nisaidieni, anatakiwa aendelee form 3.
Shule isiwe hapa Dar, iwe Moro, Iringa au Mbeya. Nikijua na ada zao nitafurahi sana.
Nina shida, namtafutia mdogo wangu shule ya sekondari ya private nzuri nimuhamishie. Mdogo wangu alikuwa seminary ameshindwa kufikia wastani wa 50 na amepata 45 so wamekataa aendelee. Please nisaidieni, anatakiwa aendelee form 3.
Shule isiwe hapa Dar, iwe Moro, Iringa au Mbeya. Nikijua na ada zao nitafurahi sana.