Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,722
- 1,511
badosamahani mkuu NIT washatoa post za degree jamni
badosamahani mkuu NIT washatoa post za degree jamni
naomba link nipate kuangalia maana wengi tuliaplyndio
Ebwana mm mwenyewe nasubiria hao N.I.T maana kwenye profile yangu inaniambia i have been provisionally selected ila nilivyoomba DIT, NIT,UNIQUE ACADEMY na Arusha but ni arusha tuu ndio waliotoa majina na DIT leo nategemea hao NIT vilevile sina uhakika kama washatoa ama laah.. maana jana niliona majina yamepigwa picha halafu hayakukamilika so tusubirisamahani mkuu NIT washatoa post za degree jamni
NIT first batch tayarEbwana mm mwenyewe nasubiria hao N.I.T maana kwenye profile yangu inaniambia i have been provisionally selected ila nilivyoomba DIT, NIT,UNIQUE ACADEMY na Arusha but ni arusha tuu ndio waliotoa majina na DIT leo nategemea hao NIT vilevile sina uhakika kama washatoa ama laah.. maana jana niliona majina yamepigwa picha halafu hayakukamilika so tusubiri
kwenye web yao ama wapi?... plzz help me niyachekNIT first batch tayar
poaaamajina first year waliochaguliwa yapo chuoni na kuhusu tarehe ya kuripoti inasemekana itakuwa 28 november
wamebandika?... j mosi ngoja niende maaana duuumajina first year waliochaguliwa yapo chuoni na kuhusu tarehe ya kuripoti inasemekana itakuwa 28 november
Utani huo sasaMwakani mwez wa saba
Umeyaona wewemajina first year waliochaguliwa yapo chuoni na kuhusu tarehe ya kuripoti inasemekana itakuwa 28 november
Nilienda leo wamesema keshowamebandika?... j mosi ngoja niende maaana duuu
nimepangwa nit diploma.tujuzane plz