Wadau, nimepatwa na mshutuko baada ya kukuta wakusanya ushuru wa maegesho wametanda mjini wanasumbuna na wenye magari wakikataa kulipa kwa kuwa leo ni sikukuu kubwa tena ya mapumziko kitaifa.
Binafsi naona hili ni jipu....hasa kushindwa kuheshimu Sikukuu ya ndugu zetu waislamu
Mr. Tanzania, post ya kwanza nilikuona wa maana ila hii uliyotukana mapadre nimekuona so mshauri. Una ushahidi mapadre no Malaya??? Mambo ya kuhukumu kuhusu dhambi mwachie Mungu!!!
La muhimu no kuchukua tahadhari kwa Hawa Dada zetu mwanaume haachi kuwa mwanaume kwa kuitwa mchungji, sheikh au...
If not cheap why didn't you decline the offer??
Mwanaume anakulipia chumba na gharama nyingine unakubali kama si urahisi ni nini?
Usitudanganye..... Sema Luna vitu hamkuelewana!
You are not serious! Waislamu Tanzania ni zaidi ya nusu ya Watanzania. Sasa chuo kikuu kimoja tena chenye wanafunzi kiduchu si ni aibu ukilinganisha na vyuo vikuu vya wakristo? Angalia hospitality za rufaa kama KCMC na bugando nk. Ebu waislamu tuamke tuache kuita watu makafiri huku tukipata...
Ufalme was mbiguni siyo sawa na kupanda daladala! Hiyo ndiyo sadaka. Pia kuwa na watoto huo no ubinadamu kama ilivyo kwa walio kwenye ndoa kuw na watoto nje. Wamejikwaa watatubu na kuendelea na safari takatifu...
Asante mtoa uzi. Sasa sisi waislamu wa Tanzania tumeshindwa mini kuibuka na shule bora kama za wakristo hasa wakatoliki, vyuo bora na hospital bora?? Listing haitsaidia kwa sasa.
Naomba nisahihishe. Si shule zote zinazomilikiwa na Dini ni seminary! Seminary ni zile shule wanaposoma vijana wanaotaka kuwa mapadre au wachungaji. Seminary kwa kiswahili ni kitaru... Kwa wakatoliki ni kitaru kunakooteshwa mbegu za upadre.
Hivyo ni makosa tunaposema Islamic seminary!!!
Wanahitajika vijana wawili wenye ujuzi wa uvuvi wanaotaka kuwa wajasiriamali katika sekta ya uvuvi. Tuungane katika shuguli ya uvuvi wa dagaa katika ziwa victoria = ujuzi wao ndiyo hisa zao katika shughuli hiyo. wawe tayari kuishi visiwani wakifanya shughuli ya uvuvi. Sifa wawe na astashahada...
simple mathematics: dawati moja kwa Dar es Salaam ni 75,000. ukizidisha hii mara 600 unapata milioni arobaini na tano (45,000,000/=). Asante sana Diamond. wengine tuige mfano. Tunasubiri na TFF, na vyama vingine vya michezo!!!
"anakojoa hewa"... nimeipenda hiyo... team Gadner angalia msijeumbuka... si ajabu dada huyu si mgumba kama wengi tunavyoamini!!!!! muda utaongea. Ni rahisi kwa mwanaume kulea mtoto asiyewako kuliko ilivyo kwa mwanamke.... Gadner alikosea kila mtu anajua. Tuache yale..."kama uliniona nilikuwa...
kama huielewi mbona umejibu?? matusi ya nini?? Lowasakama nifisad si uonyeshe?? Lowasa is our next president. Hatuwezi kumpa mtu ambaye hakuwahi kufikiria kuwa rais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.