Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,840
- 4,806
Huvi trump ameshaapishwa
What's the point of this thread? Au unataka ligi? Uko tayari kweli kwa ligi?
Huvi trump ameshaapishwa
Rudi kwenu Congo.Umeshapata kikombe ya Lumumba
Rudi kwenu Congo.
Hiki ni kiswahili cha Congo umeandika.
The point of thread is to dispel the myth that Islam hasn't got intellectuals and inventors.What's the point of this thread? Au unataka ligi? Uko tayari kweli kwa ligi?
Hili swali liwasilishe BAKWATA. More more ! Waislamu wasiridhike na hali ilivyo Muslims can do better.Asante mtoa uzi. Sasa sisi waislamu wa Tanzania tumeshindwa mini kuibuka na shule bora kama za wakristo hasa wakatoliki, vyuo bora na hospital bora?? Listing haitsaidia kwa sasa.
Kila kitu nyie ni kulaumu makafiri tu. May be ni kwa sababu hata elimu ni yao na inaitwa "Western Education" na wanafundisha wanasayansi wao (tena bila kujali dini zao). Mkikazana kuwafundisha hawa wanasayansi wenu huko madrasa nadhani itasaidia sana badala ya kukaa tu na kulaumu makafiri kwa kila kitu. Badala ya watoto kukariri misahafu na hadithi za mtume tu wakariri pia na safari za akina Ibn Battuta na Tipp Tippu. Itasaidia sana kuondoa mikanganyiko na hii dhana ya kubetuliwa stuli na makafiri wa "Western Education"Naona makafiri wakabetua stuli? Maana huko shuleni tunasikia kina Newton, Einstein etc. Asante kwa thread mkuu at least nimepata mwanga juu ya michango yao kwenye science.
Dah mkuu povu sana, hata hujui kusoma kwenye mstari. Taratibu kaka.Kila kitu nyie ni kulaumu makafiri tu. May be ni kwa sababu hata elimu ni yao na inaitwa "Western Education" na wanafundisha wanasayansi wao (tena bila kujali dini zao). Mkikazana kuwafundisha hawa wanasayansi wenu huko madrasa nadhani itasaidia sana badala ya kukaa tu na kulaumu makafiri kwa kila kitu. Badala ya watoto kukariri misahafu na hadithi za mtume tu wakariri pia na safari za akina Ibn Battuta na Tipp Tippu. Itasaidia sana kuondoa mikanganyiko na hii dhana ya kubetuliwa stuli na makafiri wa "Western Education"
Hahahaha....hao wasomi walikuwa wapi mpaka stuli ibetuliwe? Walizidiwa akili?Naona makafiri wakabetua stuli? Maana huko shuleni tunasikia kina Newton, Einstein etc. Asante kwa thread mkuu at least nimepata mwanga juu ya michango yao kwenye science.

HawajiaminiKwani wako wachache kiasi kwamba mnawatambua kwa dini zao?
A question to ask,Are the discoveries religious beneficial
Who said so?The point of thread is to dispel the myth that Islam hasn't got intellectuals and inventors.
Muslim University of Morogoro (MUM)Asante mtoa uzi. Sasa sisi waislamu wa Tanzania tumeshindwa mini kuibuka na shule bora kama za wakristo hasa wakatoliki, vyuo bora na hospital bora?? Listing haitsaidia kwa sasa.
Na scientific laws,theories & principles zao at hand ni zipi, mleta uzi angeainisha baadhi in short. Matabu mengi ya Chemistry (Organic,Physical,Inorganic) Physics( Mechanical hadi Quantum and Nuclear ) nk,sijakutana na majina haya na hiyo miaka. Hawa wengine wamwesikika sana Mf Newton laws of motion 1-3, Eistein"s photoelectric emission and energy E=mcxc.nkMastory tu, vitabu vyao viko wapi,mbona vya Einstein vipo